Makene
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 1,475
- 282
Wana jf hebu tafakarini hii,
Albino amekatwa mkono. RPC anatangaza dau la Tshs 5,000,000/- kwa atakayetoa taarifa za kuwezesha mtuhumiwa akamatwe.
Je isingefaa jeshi la police kutumia mbinu za ziada kuwezesha kuzuia albino wasishambuliwe kuliko kusubiri tukio litukie ndipo hatua za zima moto zichukuliwe.
Je isingekuwa bora RPC kutangaza msaada kwa muathirika ili apate msaada wa kidaktari hata nje ya nchi kulikoni kutoa fedha hiyo kwa mtu anayeweza kutoa taarifa mapema na zikasaidia kuzuia?
Mi sioni faida ya mtindo huu wa kushughulikia majanga.
Nawasilisha.
Albino amekatwa mkono. RPC anatangaza dau la Tshs 5,000,000/- kwa atakayetoa taarifa za kuwezesha mtuhumiwa akamatwe.
Je isingefaa jeshi la police kutumia mbinu za ziada kuwezesha kuzuia albino wasishambuliwe kuliko kusubiri tukio litukie ndipo hatua za zima moto zichukuliwe.
Je isingekuwa bora RPC kutangaza msaada kwa muathirika ili apate msaada wa kidaktari hata nje ya nchi kulikoni kutoa fedha hiyo kwa mtu anayeweza kutoa taarifa mapema na zikasaidia kuzuia?
Mi sioni faida ya mtindo huu wa kushughulikia majanga.
Nawasilisha.