Data Protection act kuwaathiri wanaharakati?

there you are kupenge
pls niPM for further talks about this matter.
its my area of concern.

Sasa ni wakati wa bunge wetu kutunga au kusadia Tanzania kuwa na DATA Protection Act
hii itasadia watu kutunza nyaraka za serikali na nyaraka za watu binafsi.

1. Wanasiasa kama Dr Slaa wataacha mchezo wao wa kuiba nyaraka za serikali
2. Magazeti ya Shigongo yataacha kuandika maisha ya watu binafsi bila ridhaa yao
3. Gazeti la uhuru na Habari leo litaacha kuandika mambo ya watu binafsi
4. Data Protection act itaongeza security kwenye social networks kama JF kuzuia watu kuleta kuiba nyaraka za serikali na kuleta hapa

My take
Bunge lijalo lijiandae kuja na Data Protection Act maana nchi nyingi zinatumia isipokuwa tanzania

EXAMPLE:Data Protection Act 1998

 
Umesha mtukana mwana JF tayari kwamba ni mwizi.Dr.Slaa.
Unaweza thibitisha hilo?
Aliiba wapi?
Kama aliiba wa kulaumiwa ni mwizi au ni yule asiye jua jinsi ya kulinda
nyaraka muhimu? (Ingawa sio muhimu maana ni nyaraka zinazo husu ufisadi)

Hizi nyaraka uwa anazitoa wapi?

images
 
Ivi unajua chochote kuhusu data protection law au unaandika tu hapa kudanganya watu?
How would data protection legislation help on points 1-4?
 
...mnataka muibe bila watanzania kujua eeh...hovyoooo....wambie waliokutuma kuwa dk. Slaa haibi data ila anapelekewa na watumishi wa umma wadilifu wakiwemo mawaziri...kafie mbele huko na mafisadi wako akina magufuli...
Nakuunga mkono asilimia 100 mkuu
 
Dr. Kupeng'e
We are waiting for the evidence of you are accusation, or ask mods to change you are topic headline.
Because basic of this thread means a personal attack against Dr. Slaa.
You only wrote this thread with nervousness, so what is hiding beyond, between you and Dr. Slaa.
 
Dr. Kupeng'e
We are waiting for the evidence of you are accusation, or ask mods to change you are topic headline.
Because basic of this thread means a personal attack against Dr. Slaa.
You only wrote this thread with nervousness, so what is hiding beyond, between you and Dr. Slaa.

I accept Mod to change the topic
 
Sasa ni wakati wa bunge wetu kutunga au kusadia Tanzania kuwa na DATA Protection Act
hii itasadia watu kutunza nyaraka za serikali na nyaraka za watu binafsi.

1. Wanasiasa kama Dr Slaa wataacha mchezo wao wa kuiba nyaraka za serikali
2. Magazeti ya Shigongo yataacha kuandika maisha ya watu binafsi bila ridhaa yao
3. Gazeti la uhuru na Habari leo litaacha kuandika mambo ya watu binafsi
4. Data Protection act itaongeza security kwenye social networks kama JF kuzuia watu kuleta kuiba nyaraka za serikali na kuleta hapa

My take
Bunge lijalo lijiandae kuja na Data Protection Act maana nchi nyingi zinatumia isipokuwa tanzania

EXAMPLE:Data Protection Act 1998


Daaaaah!!Dr. nimeshindwa kuelewa hasa maana yako ni nn?hivi serikali ni nani?hivi kweli watu wafanye madudu hovyo alafu waungwana wasituambie madudu yanayofanyika kweli?unataka kutuaminisha kuwa data zinazotolewa kwetu juu ya madudu ni makosa!!!daaah nashindwa kukuelewa ndugu yangu hasa ulikuwa una maanisha Data zipi!!?
 
We endelea kufanya "uchangudoa" wako sisi tutaendelea tu kukuanika tu hadharani maana "public interest takes precedence over individual rights".
 
Matumizi ya mdudu 'Data Protection Act' na nafasi yake dhidi ya Hki za msingi za Binadamu duniani na TAMKO LA KIKATIBA NCHINI JUU YA 'Uhuru wa Habari na Maoni', 'Dhana zima la Misingi ya Utawala Bora' na jinsi gani itakavyoweza kutumika kama Kichaka Kipya cha MAFISADI Serikalini kushinda vita dhidi ya UFUJAJI OVYO WA RASILMALI ZA UMMA, everybody watch out on this new piece of Draconian legislation and stakeholders throughout the country to keenly address the basic questions of 'WHOSE INTEREST' is the unconstitutional order geared to protect here.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom