Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
Baada ya kuchezewa dana dana katika ishu ya dhamana ya wanafunzi 53 wakiwemo wadada 16 DARUSO WAMEPANGA KUGOMA
katika wanafunzi 53 wametoka 9 tu jaman this nt gud
Wadogo zetu siku hizi mmekinajisi chuo chetu hiki,mnapenda sana kujiona na kushindana badala ya kutumia mda wenu kujadili matatizo yenu na ya wenzenu na kuyatafutia ufumbuzi...haiwezekani wenzenu wako korokoroni alafu nyinyi mnajifanya busy na shule then mnajiita wasomi,usomi gani huu mavi,sasa kama hamuwezi kuwafia wenzenu tutawaamini kweli kwamba mnaweza kushinikiza hadi tupate katiba mpya?
Nshawaambia na narudia kusema,kusoma na kuelimika ni zaidi ya kusoma vitabu
huwa nawaonea huruma sana POLISI wa tanzania ambao wengi wao ni wale waliofeli darasani, namshukuru mungu sina ndugu wala mzazi polisi, baadhi ya polisi wa tanzania hasa FFU ni kama wamelaaniwa
Baada muhamasishane kusoma nyie mnahamasishana kwenye migomo.
Waacheni wazazi waje kuwatoa. Wao wametumwa kusoma, wanaanzisha migomo.
M****E wewe, yaani wazazi waje kutoka mbali wakati vijana wapo?. nna wasiwasi na wewe ni polisi