Janja PORI
JF-Expert Member
- Jul 31, 2011
- 825
- 246
hi serikali ya Kilawa na wenzake ni majuha sana yani Mpaka leo hawajawatoa wenzao 46 akati hawana makosa na wameshkwa ndan ya chuo. wadau kilawa na wenzake wapigwe dwn
Sasa mnategemea nini kama mlichagua hao mazuzu kwa kuangalia ucollage(Cass) badala ya kuchagua mtu kulingana na uwezo wake.balaza lote limejaa mazuzu msitegemee jipya mliwachagua wenyewe.