The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
serious siko poa
embu nishushie hapa mistari ya wimbo wa bushoke...'mme *****'.
The secretary umemsikia jg? anasema eti kesho twende angaza,unaonaje tukimwambia atangulie yeye nasi twaja?Wala sina haja ya kuyajua !
Sanasana nikiyajua yatanipeleka motoni !
We yajuwe wewe inatosha.
Unajua binadam hata kama unaenda kumuokoa kifo, yeye hua haelewi na hung'ang'ania deathzone!
Angalia kuna waliofungiwa gate, wakaambiwa sasa Mv Bkb imejaa! Lakini wakapanda magari wakaenda kuitangiza Kemondo bay! Wakapanda !
Mavuno yao ..........
Hi bbyapungue wapi ndo maana namkwepa
ggggggggggggggrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Hi bby
Miss you sana The secretary !
Kaka yako mtarajiwa Bishanga hajambo?
Mwambie namsalimia sana!
Love you!
Ila usijikute wewe ndio unashangaa sawa Bishanga ?