Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 148
The man alwayz knws a fellow man mama thats how it is...I just wonder how did you know chiefmTz is a man and not a woman with broken heart??
The man alwayz knws a fellow man mama thats how it is...I just wonder how did you know chiefmTz is a man and not a woman with broken heart??
Mkuu....hapo ndo huwa nakukubali.
Za kuambiwa huwa hawachanganyi na za kwao!....wanazichukua kama zilivyo.
Kuna watu wanang'ang'ania tu ili wasionekane wameshindwa mahusiano au ndoa.
Za kuambiwa.....changanueni na zenu bana!
dah, mkuu hapo juu naomaba kama una contact unitumie ili tuwasiliane,hiyo baru ayako hapo juu nilitaka kutoa chozi maaana almost ni point ambayo hata mimi naelekea kuifikia, sasa chozi linanitoka kwakua huyo GF wangu bdo nampenda saaana, ma email is
( fredyj31@yahoo.com), nitumie hata namba yako ya sm kupitia hiyo email, bt am sorry for wat happened to you, we tulia Mungu atakuonyesha wako ambaye atakua wa kufa na kuzikana.:eyeroll2:
mhhhhh mapenzi yalikuwa siri...ila breakup ni public...why?kwanini?
dah, mkuu hapo juu naomaba kama una contact unitumie ili tuwasiliane,hiyo baru ayako hapo juu nilitaka kutoa chozi maaana almost ni point ambayo hata mimi naelekea kuifikia, sasa chozi linanitoka kwakua huyo GF wangu bdo nampenda saaana