Darling, I'm Sorry I can't go on

Naomba iwe kweli. Usijerudia MATAPISHI yako.. Kupenda ni rahisi sana, Shughuli iko kwenye kuacha.. BADO siamini.. hapo ni usanii mtupu.
 
kwanza darling mwenyewe hajajibu mapigo tu,ntafurahi kweli akija kisha amwambie jamaa aendelee tu asiwe na wasi kwanza yeye mwenyewe darling alitaka kumuacha siku nyingi sema alikua anamlia timing,kisha amwambie yeye aende tu wala asijali kwanza alikua anamchuna tu na hakuwa na mapenzi nae wala nini lol,hapo itakua kali.

Ni bora akakaa kimya bila ya kujitutumu make ukweli unauma. Kwa kawaida kuachwa huwa kunauma na hata kama ulikuwa huna mpango lakini kusikia neno kuwa mimi na wewe basi tena, hapo huwa panasumbua na wasiokuwa jasiri huishia kujitutumua na kutoa maneno kama ya Babu Kijana. Namshauri akae kimya augulie maumivu yake ndani tu.
 
Lakini licha ya maumivu aliyonayo ameweza kueleza hisia zake kwa upole na utulivu na mara nyingi watu wa aina hii huchukua msimamo wa moja kwa moja.

Kwa taarifa yako hii ni hatari zaidi! Muogope sana yule mtu achekaye wakati akihuzunima moyoni ! hii compusure ni deadly! Wataalamu wataungana nami; unaweza kuta hii kitu haishii hapa kama tunavyoamini!

Naungana na wanokataza kumdolishia licha ya kuwa ni utoto lakini pia ni kumprovoke!

He needs counceling huyu jamaa! Mark my words!
 
Kwa taarifa yako hii ni hatari zaidi! Muogope sana yule mtu achekaye wakati akihuzunima moyoni ! hii compusure ni deadly! Wataalamu wataungana nami; unaweza kuta hii kitu haishii hapa kama tunavyoamini!

Naungana na wanokataza kumdolishia licha ya kuwa ni utoto lakini pia ni kumprovoke!

He needs counceling huyu jamaa! Mark my words!

watu wanachukulia powa!!!!!!!!!!!
 
Godwine, I love you, not for what you are, but for what I am when I am with you...mwaah
A%20S%208.gif
A%20S%208.gif
ROSELYNE ITAKUWAJE JAMAA ULIYEMUWEKA HAPO KWENYE SIGNATURE YAKO ANAKUJIA NA MANENO KAMA YA HUYU JAMAA?NAHISI UTAMCHINJA,ANGALIA USIWE NEXT VICTIM:drum:
 
ROSELYNE ITAKUWAJE JAMAA ULIYEMUWEKA HAPO KWENYE SIGNATURE YAKO ANAKUJIA NA MANENO KAMA YA HUYU JAMAA?NAHISI UTAMCHINJA,ANGALIA USIWE NEXT VICTIM:drum:

umenitisha ujue!for a second nimejikuta nawaza sijui itakuwaje...

ila hapana hawezi nifanyia hivyo,ananipenda sana na mie nampenda pia:wink1::cool:
 
umenitisha ujue!for a second nimejikuta nawaza sijui itakuwaje...

ila hapana hawezi nifanyia hivyo,ananipenda sana na mie nampenda pia:wink1::cool:

mamii anything is possible...aah jamani leo mi ninakigugumizi cha kuandika kabisa hizi mada hizi!!! I wish I could open my head n just pour whatever is into it with this regard!!
 
Biblia kitabu kitakatifu kinatufundisha kujiandaa wakati UFAAO na USIOFAA!

Akili ya kumbiwa...............

Life is like a keyboard on which we press white keys of happiness and black keys of sorrow, and we must accept that, black keys has got music too.
 
Darling

Nadhani sasa ni miezi inayokaribiana na mwaka tangu tumeanza uhusiano wetu wa kimapenzi.Ndani yake tumefaidi mengi kutoka pande zote.Tumejifunza mengi. Tumefanya mengi.Tumeona mengi.

Darl naomba nikiri kwamba moyo wangu wa baridi juu ya mapenzi ya kweli ni wewe ndiye uliyeufanya ukawa moto na kujikuta ukiwa tayari kuhangaika kwa ajili ya kitu mapenzi.Na naomba nikiri kwamba safari yangu ya mapenzi ya kutafuta mapenzi ya dhati ilionekana kuwa hatimaye imefika mahala pake.

PENGINE UTASHITUKA LAKINI HUTASHANGAA KUPATA UJUMBE kutokana na kile ukiitacho KAWAIDA YANGU KULALAMIKA lakini naomba upokee ujumbe huu kama siyo kawaida yangu kwa kuwa nautoa nikiwa nimetulia bila ya hasira wala chochote ndani yangu.

Darling,moyo wangu umepata mateso sana kuona kuwa yale uliyoyataka hayapo, kama yapo basi hayaonekani, kama yanaonekana hayako katika uhalisia wake.Hali hii imeufanya ulie huku ukikaribia kutoa machozi ya damu.

Darl, naamini kwamba kwa kiwango changu nilijitahidi sana kukuonyesha ni kwa kiwango gani nilivyokukubali,na kwa kiwango nilikupenda na kiwango gani nilikuwa NIMEKUDONDOKEA.Hata hivyo nawe ulijitahidi kunionyesha kuwa nilikuwa wrong kukupenda kiasi hicho.Kwa hiyo tulifikiri tofauti.Lakini kwa bahati mbaya sikugundua hilo.

Lakini maneno yako ya mara kwa mara kuwa tunafikiria sambamba yalikuwa yakinipa moyo kiasi cha kunifanya niamini kuwa tu pamoja.

DARL naomba nikiri kwamba nimeutesa moyo wangu kwa kukupenda kwa kiwango hicho,nimetesa akili yangu sana kwa sababu ya kukupenda.nimeutesa mwili wangu kwa sababu ya kukupenda.Hata hivyo hayo yote ni mambo ya kawida katika mapenzi.

Lakini litakuwa ni jambo jema iwapo nitakuwa na uamuzi juu ya hili. Nao ni kusema"I'M SORRY I CANT GO ON"YOURS IN COLDED LOVE

Anybody to summarise thsi for me please. Really, I am too tired to read all this.
 
Anybody to summarise thsi for me please. Really, I am too tired to read all this.
Mkuu Masaki, ikiwa samarized zaidi ya hapa utakosa uhondo, jitahidi kusoma tu, ni ujumbe ulio tulia ingawa ni sihu za kawaida sana kwenye malovee ya dunia ya sasa
 
Kaizer, Mkuu naomba kukusalimia, nimekumis sana Mhe. Vipi mpango wako wa kutangaza nia umefikia wapi? Salute kwako
 
Naomba iwe kweli. Usijerudia MATAPISHI yako.. Kupenda ni rahisi sana, Shughuli iko kwenye kuacha.. BADO siamini.. hapo ni usanii mtupu.
Ni kweli Dreamliner jamaa anaweza kurudi kimya kimya tatizo atatuambia hapa jukwaani kuwa amerudi kwa huyu anayejishebedua kumuacha hadharani
 
ChiefmTz, you are the man!Ni afadhali kumwambia mtu kuliko kumfanyia visa/cheatings. Poleni both kwa maumivu,but be there for her until she moves on!
I wish.......!

Bado hujachelewa, m-PM labda atakufaa! Angalao kuwa pozeo lake na ww huku ukijipanga kutoka kama yeye. Kwani umeolewa?
 
Biblia kitabu kitakatifu kinatufundisha kujiandaa wakati UFAAO na USIOFAA!

Akili ya kumbiwa...............

Mkuu....hapo ndo huwa nakukubali.
Za kuambiwa huwa hawachanganyi na za kwao!....wanazichukua kama zilivyo.

Kuna watu wanang'ang'ania tu ili wasionekane wameshindwa mahusiano au ndoa.

Za kuambiwa.....changanueni na zenu bana!
 
Darling

Nadhani sasa ni miezi inayokaribiana na mwaka tangu tumeanza uhusiano wetu wa kimapenzi.Ndani yake tumefaidi mengi kutoka pande zote.Tumejifunza mengi. Tumefanya mengi.Tumeona mengi.

Darl naomba nikiri kwamba moyo wangu wa baridi juu ya mapenzi ya kweli ni wewe ndiye uliyeufanya ukawa moto na kujikuta ukiwa tayari kuhangaika kwa ajili ya kitu mapenzi.Na naomba nikiri kwamba safari yangu ya mapenzi ya kutafuta mapenzi ya dhati ilionekana kuwa hatimaye imefika mahala pake.

PENGINE UTASHITUKA LAKINI HUTASHANGAA KUPATA UJUMBE kutokana na kile ukiitacho KAWAIDA YANGU KULALAMIKA lakini naomba upokee ujumbe huu kama siyo kawaida yangu kwa kuwa nautoa nikiwa nimetulia bila ya hasira wala chochote ndani yangu.

Darling,moyo wangu umepata mateso sana kuona kuwa yale uliyoyataka hayapo, kama yapo basi hayaonekani, kama yanaonekana hayako katika uhalisia wake.Hali hii imeufanya ulie huku ukikaribia kutoa machozi ya damu.

Darl, naamini kwamba kwa kiwango changu nilijitahidi sana kukuonyesha ni kwa kiwango gani nilivyokukubali,na kwa kiwango nilikupenda na kiwango gani nilikuwa NIMEKUDONDOKEA.Hata hivyo nawe ulijitahidi kunionyesha kuwa nilikuwa wrong kukupenda kiasi hicho.Kwa hiyo tulifikiri tofauti.Lakini kwa bahati mbaya sikugundua hilo.

Lakini maneno yako ya mara kwa mara kuwa tunafikiria sambamba yalikuwa yakinipa moyo kiasi cha kunifanya niamini kuwa tu pamoja.

DARL naomba nikiri kwamba nimeutesa moyo wangu kwa kukupenda kwa kiwango hicho,nimetesa akili yangu sana kwa sababu ya kukupenda.nimeutesa mwili wangu kwa sababu ya kukupenda.Hata hivyo hayo yote ni mambo ya kawida katika mapenzi.

Lakini litakuwa ni jambo jema iwapo nitakuwa na uamuzi juu ya hili. Nao ni kusema"I'M SORRY I CANT GO ON"YOURS IN COLDED LOVE


Ahhhhh! so sad!
http://www.youtube.com/watch?v=NWdrO4BoCu8http://www.youtube.com/watch?v=NWdrO4BoCu8
 
dah, mkuu hapo juu naomaba kama una contact unitumie ili tuwasiliane,hiyo baru ayako hapo juu nilitaka kutoa chozi maaana almost ni point ambayo hata mimi naelekea kuifikia, sasa chozi linanitoka kwakua huyo GF wangu bdo nampenda saaana, ma email is
( fredyj31@yahoo.com), nitumie hata namba yako ya sm kupitia hiyo email, bt am sorry for wat happened to you, we tulia Mungu atakuonyesha wako ambaye atakua wa kufa na kuzikana.:eyeroll2:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom