Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Naomba iwe kweli. Usijerudia MATAPISHI yako.. Kupenda ni rahisi sana, Shughuli iko kwenye kuacha.. BADO siamini.. hapo ni usanii mtupu.
kwanza darling mwenyewe hajajibu mapigo tu,ntafurahi kweli akija kisha amwambie jamaa aendelee tu asiwe na wasi kwanza yeye mwenyewe darling alitaka kumuacha siku nyingi sema alikua anamlia timing,kisha amwambie yeye aende tu wala asijali kwanza alikua anamchuna tu na hakuwa na mapenzi nae wala nini lol,hapo itakua kali.
Lakini licha ya maumivu aliyonayo ameweza kueleza hisia zake kwa upole na utulivu na mara nyingi watu wa aina hii huchukua msimamo wa moja kwa moja.
Kwa taarifa yako hii ni hatari zaidi! Muogope sana yule mtu achekaye wakati akihuzunima moyoni ! hii compusure ni deadly! Wataalamu wataungana nami; unaweza kuta hii kitu haishii hapa kama tunavyoamini!
Naungana na wanokataza kumdolishia licha ya kuwa ni utoto lakini pia ni kumprovoke!
He needs counceling huyu jamaa! Mark my words!
ROSELYNE ITAKUWAJE JAMAA ULIYEMUWEKA HAPO KWENYE SIGNATURE YAKO ANAKUJIA NA MANENO KAMA YA HUYU JAMAA?NAHISI UTAMCHINJA,ANGALIA USIWE NEXT VICTIM:drum:Godwine, I love you, not for what you are, but for what I am when I am with you...mwaah
ROSELYNE ITAKUWAJE JAMAA ULIYEMUWEKA HAPO KWENYE SIGNATURE YAKO ANAKUJIA NA MANENO KAMA YA HUYU JAMAA?NAHISI UTAMCHINJA,ANGALIA USIWE NEXT VICTIM:drum:
ila hapana hawezi nifanyia hivyo,ananipenda sana na mie nampenda pia:wink1:
Biblia kitabu kitakatifu kinatufundisha kujiandaa wakati UFAAO na USIOFAA!
Akili ya kumbiwa...............
umenitisha ujue!for a second nimejikuta nawaza sijui itakuwaje...
ila hapana hawezi nifanyia hivyo,ananipenda sana na mie nampenda pia:wink1:
Biblia kitabu kitakatifu kinatufundisha kujiandaa wakati UFAAO na USIOFAA!
Akili ya kumbiwa...............
Darling
Nadhani sasa ni miezi inayokaribiana na mwaka tangu tumeanza uhusiano wetu wa kimapenzi.Ndani yake tumefaidi mengi kutoka pande zote.Tumejifunza mengi. Tumefanya mengi.Tumeona mengi.
Darl naomba nikiri kwamba moyo wangu wa baridi juu ya mapenzi ya kweli ni wewe ndiye uliyeufanya ukawa moto na kujikuta ukiwa tayari kuhangaika kwa ajili ya kitu mapenzi.Na naomba nikiri kwamba safari yangu ya mapenzi ya kutafuta mapenzi ya dhati ilionekana kuwa hatimaye imefika mahala pake.
PENGINE UTASHITUKA LAKINI HUTASHANGAA KUPATA UJUMBE kutokana na kile ukiitacho KAWAIDA YANGU KULALAMIKA lakini naomba upokee ujumbe huu kama siyo kawaida yangu kwa kuwa nautoa nikiwa nimetulia bila ya hasira wala chochote ndani yangu.
Darling,moyo wangu umepata mateso sana kuona kuwa yale uliyoyataka hayapo, kama yapo basi hayaonekani, kama yanaonekana hayako katika uhalisia wake.Hali hii imeufanya ulie huku ukikaribia kutoa machozi ya damu.
Darl, naamini kwamba kwa kiwango changu nilijitahidi sana kukuonyesha ni kwa kiwango gani nilivyokukubali,na kwa kiwango nilikupenda na kiwango gani nilikuwa NIMEKUDONDOKEA.Hata hivyo nawe ulijitahidi kunionyesha kuwa nilikuwa wrong kukupenda kiasi hicho.Kwa hiyo tulifikiri tofauti.Lakini kwa bahati mbaya sikugundua hilo.
Lakini maneno yako ya mara kwa mara kuwa tunafikiria sambamba yalikuwa yakinipa moyo kiasi cha kunifanya niamini kuwa tu pamoja.
DARL naomba nikiri kwamba nimeutesa moyo wangu kwa kukupenda kwa kiwango hicho,nimetesa akili yangu sana kwa sababu ya kukupenda.nimeutesa mwili wangu kwa sababu ya kukupenda.Hata hivyo hayo yote ni mambo ya kawida katika mapenzi.
Lakini litakuwa ni jambo jema iwapo nitakuwa na uamuzi juu ya hili. Nao ni kusema"I'M SORRY I CANT GO ON"YOURS IN COLDED LOVE
Mkuu Masaki, ikiwa samarized zaidi ya hapa utakosa uhondo, jitahidi kusoma tu, ni ujumbe ulio tulia ingawa ni sihu za kawaida sana kwenye malovee ya dunia ya sasaAnybody to summarise thsi for me please. Really, I am too tired to read all this.
Ni kweli Dreamliner jamaa anaweza kurudi kimya kimya tatizo atatuambia hapa jukwaani kuwa amerudi kwa huyu anayejishebedua kumuacha hadharaniNaomba iwe kweli. Usijerudia MATAPISHI yako.. Kupenda ni rahisi sana, Shughuli iko kwenye kuacha.. BADO siamini.. hapo ni usanii mtupu.
ChiefmTz, you are the man!Ni afadhali kumwambia mtu kuliko kumfanyia visa/cheatings. Poleni both kwa maumivu,but be there for her until she moves on!
I wish.......!
Biblia kitabu kitakatifu kinatufundisha kujiandaa wakati UFAAO na USIOFAA!
Akili ya kumbiwa...............
Darling
Nadhani sasa ni miezi inayokaribiana na mwaka tangu tumeanza uhusiano wetu wa kimapenzi.Ndani yake tumefaidi mengi kutoka pande zote.Tumejifunza mengi. Tumefanya mengi.Tumeona mengi.
Darl naomba nikiri kwamba moyo wangu wa baridi juu ya mapenzi ya kweli ni wewe ndiye uliyeufanya ukawa moto na kujikuta ukiwa tayari kuhangaika kwa ajili ya kitu mapenzi.Na naomba nikiri kwamba safari yangu ya mapenzi ya kutafuta mapenzi ya dhati ilionekana kuwa hatimaye imefika mahala pake.
PENGINE UTASHITUKA LAKINI HUTASHANGAA KUPATA UJUMBE kutokana na kile ukiitacho KAWAIDA YANGU KULALAMIKA lakini naomba upokee ujumbe huu kama siyo kawaida yangu kwa kuwa nautoa nikiwa nimetulia bila ya hasira wala chochote ndani yangu.
Darling,moyo wangu umepata mateso sana kuona kuwa yale uliyoyataka hayapo, kama yapo basi hayaonekani, kama yanaonekana hayako katika uhalisia wake.Hali hii imeufanya ulie huku ukikaribia kutoa machozi ya damu.
Darl, naamini kwamba kwa kiwango changu nilijitahidi sana kukuonyesha ni kwa kiwango gani nilivyokukubali,na kwa kiwango nilikupenda na kiwango gani nilikuwa NIMEKUDONDOKEA.Hata hivyo nawe ulijitahidi kunionyesha kuwa nilikuwa wrong kukupenda kiasi hicho.Kwa hiyo tulifikiri tofauti.Lakini kwa bahati mbaya sikugundua hilo.
Lakini maneno yako ya mara kwa mara kuwa tunafikiria sambamba yalikuwa yakinipa moyo kiasi cha kunifanya niamini kuwa tu pamoja.
DARL naomba nikiri kwamba nimeutesa moyo wangu kwa kukupenda kwa kiwango hicho,nimetesa akili yangu sana kwa sababu ya kukupenda.nimeutesa mwili wangu kwa sababu ya kukupenda.Hata hivyo hayo yote ni mambo ya kawida katika mapenzi.
Lakini litakuwa ni jambo jema iwapo nitakuwa na uamuzi juu ya hili. Nao ni kusema"I'M SORRY I CANT GO ON"YOURS IN COLDED LOVE
Wameamua kuumbuana sasa ni fraha kwa Kunguru,
Wajeruhiwa huwa wanakuwa watamu sana.