tunalazimika
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,098
- 256
ndugu zangu watz, sisi hatuna sababu yoyote ya kushindwa kuendelea kama China, Japan, Malyasia n.k nchi ambazo back to 50s tulikuwa tunalingana nao_kilichotufikisha hapa ni mfumo duni Utawala unaolenga kuwanufaisha wachache na wengine kuish kama watumwa ndan ya nchi yao. Inasikitisha kuona kipindi hiki cha mapambano ya uhuru halisi, watu wengine wanajikita kutuma posts za Udini na zenye kuwagawa watz kwa races zao_ndugu mods, naamini niny mna uwezo mkubwa wa kutusaidia ktk hili na kuongoza mapambano ya ukweli_tuondoleen haraka posts ambazo hazitujeng na badala yake kutugawa watz