Hii kitu imetulia sanaAnalysis
Et underground wa bunda we jamaaaa una utani mnenekajiandae pale bro amebugi, ni bora yeye ndo akajiandae aisee, sijaona kitu utadhania ni underground wa bunda
Nilivyosikia tu mashairi ya Darasa, hapo hapo nikaona yanawagonga moja kwa moja mtaa wa pili lakini kwavile mtaa wa pili wenyewe ni wenzangu mimi; wakaamini dongo linaenda Wasafi... yaani wakajikita kwenye "Simba...!" Na wakasahau content mzima kwa ujumla wake!!!!Analysis
Umeisahau Perfect Combo...Darassa akiweza kufanya show za kimataifa, au tour au kuweza kuandaa show zake mwenyewe hapo, unaweza sema WCB imepata challenge ila level hizi hata akina joh makini - dont bother, nusu nusu alisumbua sana mpaka mtv base na trace huko...
kama mondi aliimba taarab basi darasa hashindwi kuimba singeli... yote 9 kumi mziki uwe mzuri 2 hata akiimba bolingoSingeli
Mkuu upo nchi gani? hii ngoma sasa hiv ni wimbo wa taifa au ninyi ndo mliolishwa unga wa ndeleWewe wacha kulinganisha KAJIANDAE na vitu vya kijinga!
mkuu hakuna mrefu bila uwepo wa mfupi...Wimbo wa Darassa ni mzuri sana kuusikiliza na kuucheza.
Note:
Hivi wabongo hatuwezi kumsifia na kumkubali mtu mpaka tumlinganishe na fulani??
Mbona umetaja watatu wakati umesema umesema unakubali wawiliKatika hipohop ya bongo nawakubali wawili joh makin na darasa na Niki wa2 tu.
Ndugu zangu, Darasa sio yule tena wa 'sikati tamaa' Siku hizi yupo kikazi zaidi. Kila kukicha anazidi kuwa mkali.
Ngoma yake hii ya sasa inayoitwa 'MUZIKI' aliyomshirikisha Ben Pol ni kalii hatari. Kafunika ngoma ya Kokoro na Kajiandae.
Huku mitaani ni vurugu tupu, kila kona ninakopitaa ni ngoma ya Darasa inapigwa.
Umetaja wa 3Katika hipohop ya bongo nawakubali wawili joh makin na darasa na Niki wa2 tu.