Darasa la mahusiano jinsi ya kuwakamata wadanganyifu katika mapenzi

kupoteza tu muda huko na kuanza kutafuta presha na bp na mwisho kufa kabisa..eti kujifunza kumkamata mpenzi asiye mwaminifu, so what will u gain??,watu wasanii bwana anaweza kucheat na usimjui, bora ujifunze njia za kuboresha mahusiano na mahabuba wako kuliko kuchokonoa mambo mengine yasiokuhusu au badala yake fanya mikakati ya maendeleo!
 
kuna darasa la mapenzi jamani linaanza leo
lichachukua siku kumi ni kila siku saa 0100 GMT+0 AU UK
HOURS
NI JINSI YA KUMKAMATA MPENZI WAKO ANAYEKUDANGANYA
AU NJIA ZA KUJUA KAMA ANATAKA KUKUDANGANYA

PIA HAPA KILA HUO MUDA www.lifeofmshaba.com
nenda tafuta love and passion class ni kuanzia leo

nimeipenda japokua mimi ni kichanga wa JF vipi nitalipata ilo darasa la mapezi.Je ni kwa mtandao wa JF?ningependa kufahamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom