Unajua hapa tuna upande mmoja tu wa stori. Tunaweza kuwalaumu sana hao washikaji kumbe inawezekana mwenye tatizo ni wewe. Kwa sababu hainingii akilini watu wote hao waje kwa staili hiyo hiyo moja. Inawezekana wewe mwenyewe unajilengesha kwa namna moja au nyingine. Asikwambie mtu wanaume wote wanatongoza mwanamke kwa namna anavyorespond katika mazungumzo. Na ndiyo maana kuna wanawake ambao unaweza kuonana nao leo hii na ukawaambia nataka twende nikaku......mbe na bado ukapewa mzigo.eti ooh dada umevaaje leo huko ndani?
mara umelalaje unaangalia juu chini? yaani siku nikimshika namuwasha vibao wallah