Daraja la Kigamboni limeshajengwa

Mkuu nimesoma hayo maelezo vizuri kabisa, kabla ya bandiko langu la mwanzo.
Hebu fikiria hii scenario...
Kampuni imefanya kazi mbili za kusanifu madaraja (Kigamboni na Mkapa bridge). Kazi yao imeisha na wamerejea kwa Misri.
Baada ya miaka kadhaa wanaandaa brochure ya kampuni (na anayeandaa hizo brochure hajui chochote kuhusu Kigamboni wala Rufiji).
Huoni inakua rahisi kuchanganya mambo?
Cha kujiuliza hapa ni kama hawa jamaa walishiriki katika hatua zozote za miradi ya madaraja ya Rufiji na Kigamboni. Bado siamini kwamba mtu mwenye akili timamu anaweza kudanganya kitu cha aina hii.

Tuseme sawa aliyeandaa hii brochure alichanganya kati ya kigamboni na rufiji, sasa kurasini nayo je? amechanganya? sorry lakini kwangu mimi utetezi wako juu ya hawa jamaa ni failure argument! hawa jamaa walifanya makusudi kabisa1
 
Tuseme sawa aliyeandaa hii brochure alichanganya kati ya kigamboni na rufiji, sasa kurasini nayo je? amechanganya? sorry lakini kwangu mimi utetezi wako juu ya hawa jamaa ni failure argument! hawa jamaa walifanya makusudi kabisa1

Mkuu kwanza nikueleze kwamba sitetei jamaa yeyote. Nimeangalia kosa walilofanya kwa mtazamo tofauti, pia nimesema labda wamechanganya mambo (maelezo).
Inawezekana mtu aliyeendaa hayo maelezo alidhani daraja waliloshiriki na likajengwa hawa jamaa ni Kigamboni badala ya Rufiji.
Sitetei, ila naangalia uwezakano uliopo tu.
Bado nabaki na msimamo wangu kwamba haiwezekani kampuni (mtu) kufanya uongo wa aina hii....huwezi kudanganya (kwa kuweka katika mtandao) kwamba unamiliki jengo la ghorofa 40 Tanzania!
 
Hivi kisheria serikali yetu haina mamlaka ya kuwachukulia hatua hao matapeli?
Ila sitoshangaa nikisikia kuwa kuna mkono wa kigogo wa serikali yetu.

Serikali ipi Mkuu ichukue hatua za kisheria?
 
Back
Top Bottom