K KZJ Member Oct 18, 2012 45 2 Oct 19, 2012 #1 Ningependa kujua kwanini daraja la Kigamboni wenye magari walipe wakati wa kupita, kwani linajengwa kwa fedha za wafanyakazi.
Ningependa kujua kwanini daraja la Kigamboni wenye magari walipe wakati wa kupita, kwani linajengwa kwa fedha za wafanyakazi.
G Gangi Longa JF-Expert Member Feb 5, 2010 275 135 Oct 22, 2012 #2 fedha hizo zimekopwa kutoka mifuko ya wafanyakazi na zinapaswa kurudishwa
Mbugi JF-Expert Member Jan 7, 2011 1,488 257 Dec 11, 2012 #3 KZJ said: Ningependa kujua kwanini daraja la kigamboni wenye magali walipe wakati wa kupita,kwani linajengwa kwa fedha za wafanyakazi. Click to expand... Hoja zingine zinataka uwe chiiziii lasivyo utazeeka siku si zako????
KZJ said: Ningependa kujua kwanini daraja la kigamboni wenye magali walipe wakati wa kupita,kwani linajengwa kwa fedha za wafanyakazi. Click to expand... Hoja zingine zinataka uwe chiiziii lasivyo utazeeka siku si zako????