Elections 2010 Dar-ubungo wabebwa kwenye magari ya takataka wasimamizi wa uchanguzi posho hazijatoka

Makanda

Member
Oct 29, 2010
77
2
wasimamizi wa jimbo la ubungo walalamika kwenye ITV hawajalipwa posho mtafaruku mkubwa walibebwa kwenye Gari la Taka WaMENGOME MATOKEO MAMBO SI SHWARI.
 
Na lorri la JWTZ limetumika kubeba maboksi kupeleka pale Loyola, kwa nini magari ya TPDF jamani?
 
Back
Top Bottom