Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Wakuu, nimepata dharura. Naelekea kumsalimia mdogo wangu huko marekani. Kahalika naenda na mpwa wangu ambaye anaedna moja kwa moja. Naombeni kuwauliza bei ya Ticketi kutoka Dar hadi NY au Kutoka NBO hadi NY. Either one way au return
Au kwa wastani ni kiasi gani
Au kwa wastani ni kiasi gani