Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa
Nafiri ingetakuwa kupigwa marufuku nchi nzima,na pia hii radio imani kuchunguzwa kwa sababu inachangia kuongeza chuki.
ATN TV NA RADIO WAPO ni janga la kitaifa.
Hapo mkuu wa mkoa atakuwa ameongeza vibaka maana Yesu si Mungu ndiyo ilikuwa ajira yao ya kukusanya sadaka
Una mtisha nani mkuu toka kwenye keyboard nenda kapambane nao kariakoo kama hujaja hapa umeshikilia utumbo wako.
Nikweli kabisa Radio inayochochea uchomaji wa Nyumba za Ibada ni ya Mashetani tena watangazaji wake wanavaa matineti pedo na wana Ndevu za kutosha huwa wanapenda gahawa na Kashata pia Kuhudhuria Hitma ili wale pilau
Mkuu hizo Radio huwa zinasaidia sana kuondoa majini na mapepo ambayo nyie huwa mnayafuga, pia kwa kufanya hivyo nazo ni janga la kitaifa?
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick amepiga marufuku mihadhara yote ya kidini inayokashifu na kukebehi imani za watu wengine, hadi hapo hali itakapokuwa shwari.
Ameonya pia dhidi ya waandishi na vyombo vya habari vinavyochochea udini kuacha mara moja kabla hatua husika hazijachukuliwa.
Kwahiyo mihadhara ya kukashifu Baada ya Hali KUTUMIA itaruhusiwa????
Waislamu sasa hivi wanatumia misikitu kumwaga sumu, wanatumiana SMS pia. Kupiga marufuku mihadhara haisaidii.
Mimi sina shida ya kwenda huko nyie ndo mna shida kisa mtoto kapigia puli kitabu chenu
Wenyewe hawaiti kukashifu, wanaita kuelimisha. Jamaa ni wachokozi kweli kwa dini za wenzao lakini wenyewe wakiguswa kidogo tu ni mihemko kwa kwenda mbele.Kwahiyo mihadhara ya kukashifu Baada ya Hali KUTUMIA itaruhusiwa????
Hapo mkuu wa mkoa atakuwa ameongeza vibaka maana Yesu si Mungu ndiyo ilikuwa ajira yao ya kukusanya sadaka
Hawa hawana akili kabisa.....ina maana hali itakapokuwa shwari ndiyo wataruhusu wengine kukashfu dini
Tv/radio imaan ndio virus wakuu.
sio mihadhara tu. Pia kuna dvd zinauzwa, hasa magomeni ambapo utawakuta waislam wengi wakisikiliza uchochezi na kuitikia takbiir!!!!! Hivi hiyo kitu maana yake nini?