Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,595
Kuna thread ilianzishwa, ilikuwa ikizungumzia kuhusu ujio wa mabasi ya Dar Lux Bus.
Mabasi haya yameshaanza kazi rasmi, mara baada ya kuanza route zao niliamua kutumia usafiri huo to different destinations.
Magari ni mazuri na ya kisasa ila Katika safari zote mbili nilizofanya ilikuwa ni kero sana, wafanyakazi wake ni kamapo kijiweni hivi, kwa tabia yao ionyeshayo kuwa wapo unorganised,
kero kubwa ni sauti ya radio humo ndani, huwa ya juu muda wote utadhani umepanda matatuu, huwez hata kusikiliza simu , wala kusikiliza muziki kwa earphone zako, ukiwaomba kupunguza sauti huishia kukuzungusha tu na kutoa majibu yasiyoeleweka.
Ukiwaangalia wafanyakazi wenyewe ni kama kila mmoja anajihisi ni boss wa mwingine, hawa ethics za kazi zao, labda hawazijui.
Naiona kama kampuni iliyopo mbioni kufa mapema.
Badilikeni.
Mabasi haya yameshaanza kazi rasmi, mara baada ya kuanza route zao niliamua kutumia usafiri huo to different destinations.
Magari ni mazuri na ya kisasa ila Katika safari zote mbili nilizofanya ilikuwa ni kero sana, wafanyakazi wake ni kamapo kijiweni hivi, kwa tabia yao ionyeshayo kuwa wapo unorganised,
kero kubwa ni sauti ya radio humo ndani, huwa ya juu muda wote utadhani umepanda matatuu, huwez hata kusikiliza simu , wala kusikiliza muziki kwa earphone zako, ukiwaomba kupunguza sauti huishia kukuzungusha tu na kutoa majibu yasiyoeleweka.
Ukiwaangalia wafanyakazi wenyewe ni kama kila mmoja anajihisi ni boss wa mwingine, hawa ethics za kazi zao, labda hawazijui.
Naiona kama kampuni iliyopo mbioni kufa mapema.
Badilikeni.