Dar kupata mkuu wa mkoa mpya?

Huyo batilda buriani jamani mi sioni kazi aliyofanya sema kikwete nae too much kiupaumbele kwa madem wengine hata bongo za zimeganda but anawaweka tu cjui walikuwa madem zake zamani ananikera huyo mkwere
 
Salma Kikwete, na ili kulinda maridhiano na CUF, Profesa Lipumba atakuwa Katibu Mkuu wa CCM
 
Back
Top Bottom