Kwame Nkrumah
JF-Expert Member
- Dec 2, 2008
- 886
- 376
Nasikia harufu ya ufisadi inakuja.
Better yet, lets play a guessing game "Who is gonna be in the next episode of Ufisadi on Ruhudji hydropower station"
Nasikia harufu ya ufisadi inakuja.
Somethings is coming over this project... Keep your eye on this topic
....Hili ni suala la collective responsibility. Wananchi nao wanatakiwa kupunguza uzazi....
.... Na vilevile kuangalia matumizi ya NUKE. ...
... Lazima nchi iwe na source mbalimbali...
Tanzania seeks consultants to structure 358-MW Ruhudji project
HydroWorld - ‎Aug 24, 2009‎
The Tanzania Ministry of Energy and Minerals invites expressions of interest from consultants to help structure the 358-MW Ruhudji hydroelectric project for
Nafikiri ingekuwa busara pia kuanza investment kwenye renewable energy. Na hawa wahandisi walio makini Tanesco na kwingine wakawa mstari wa mbele katika kuwezesha hilo. Hydro power plant, kama ilivyo kwa renewable energy nazo zina limitation. Mara nyingi ili kuwa safe, diversification inakuwa kitu kizuri zaidi.Tanesco na Wizara ina wahandisi wazuri ambao nina uhakika wana uwezo wa kufikiri zaidi yetu sisi wa kuropoka kwenye mitandao.
Kuzalisha MW 358 kwa kutumia upepo na uweze kuhifadhi huo umeme ambao unapatikana kipindi fulani alafu kipindi fulani unapungua sio jambo rahisi.
Kuongeee tu.... lakini tujue kwamba kuna wenzetu wanafanya hizi kazi wako gado zaidi yetu...
Hivi hatujajifunza kutokana na makosa ya Kidatu, Nyumba ya Mungu na Mtera?
Kwa nini hatuelekezi kwenye nguvu za nishati kutumia Upepo na Jua ambazo gharama za muda mrefu si kubwa kama kilichotokea kutokana na mabwawa ya maji ambayo yamejaa tope na kukosa maji kutokana na ukame?
Tanesco na Wizara ina wahandisi wazuri ambao nina uhakika wana uwezo wa kufikiri zaidi yetu sisi wa kuropoka kwenye mitandao.
Kuzalisha MW 358 kwa kutumia upepo na uweze kuhifadhi huo umeme ambao unapatikana kipindi fulani alafu kipindi fulani unapungua sio jambo rahisi.
Kuongeee tu.... lakini tujue kwamba kuna wenzetu wanafanya hizi kazi wako gado zaidi yetu...
Solution wawaachie watu binafsi wazalishe na wauze umeme sio hizi blah blah za serikali na TANESCO zinazotutia hasara za mabilioni kilna umeme wenyewe hakuna!
You people are not being reasonable. Sasa mnalalamika umeme unakatika mpaka muhimbili alafu mkitaka kujengewa Power station hamtaki.. lol.. Kula lazma watu wale lakini kiwe cha one time alafu tuwe na umeme wetu..