Aron Mosha
Member
- Sep 22, 2010
- 11
- 0
- Thread starter
- #21
Very true!, I likua utapeli wameenda kulowa madirishani sasa wanavamia kwanguvu kesho itakuwaje, haijulikani.Kwani hujui vyombo vya usalama vipo kwa ajili ya kulinda usalama wa "ruling elites" ?, Vibaka ni zao la watawala kuangalia masilahi yao zaidi na kuacha kugundua kua suala la ongezeko la vijana wasio na ajira ni threat for national security, wao wana-focus on manipulating elections to remain in power.Huwezi kuwa na amani katika nchi ambayo majority hawana uhakika wa kipato na kumudu maisha yao, ujue ni lazima nature itafanya kazi yake, kunyang'anyana kidogo kilichoshikwa na wachache walio vulnerable. Jitahidi utafute silaha ya moto ujilinde, Police are no more for probono, they are a bunch of thieves with authority to kill and paint you as "Jambazi", Tanzania sasa tumeingia kwenye sheria za porini "law of the jungle: the struggle for existence and the survival of the fittest." Kama huna nguvu utaliwa tu.