Dar es salaam wamelala

Dsm wanajua haki zao hawawezi kuingizwa mkenge wa kijinga kama wengine wa huko mikoani. Jimbo kama la Ilala linachangia 80% ya mapato ya serikali ya kila mwezi, sasa unafikiri wa kuja anaweza kulishika hilo jimbo? Hata CHADEMA japokuwa makao makuu yao yapo hapa dar waliogopa kuliingia hilo jimbo
mapato ya soko la mitumba ashanti au?
 
Dar tupo Gado ila wachakachuaji walituzidi akili, maana walijiandaa vya kutosha kuwa Dar es salaam isiangukie mikononi mwa wana wa nchi. Ni hakika kilichofanyika Dar ni sawa na hili la kubaka demokrasia pale Arusha. Naona CCM hawakuwa wanaamini kuwa Mbeya, mwanza na arusha wangefanya kweli wakawa wamelegeza kamba! Wamekuja kushtuka wakiwa wameisha chelewa, ndiyo maana wanafanya mambo ya kijinga wakifikiri kuwa bado wataokoa angalau umeya!!!!
 
mtakalia wakuja wakuja.... Haya wakunyumba wanawaingiza mjini sisi wakuja haohao wanatusaidia... Go Mnyika go... Go wakuja go!
I care about maendeleo hata yakiletwa na wakuja nayakumbatia!
 
mtakalia wakuja wakuja.... Haya wakunyumba wanawaingiza mjini sisi wakuja haohao wanatusaidia... Go Mnyika go... Go wakuja go!
I care about maendeleo hata yakiletwa na wakuja nayakumbatia!

Wakunyumba tena? ndio kiswahili kipi hiki? wee umetokea wapi? Nimekwambia wewe wa AGENDA.
 
Wana JF
Kwa mtazamo wangu naona watu wa mikoani wamejitambua muda mrefu na hata kuchagua wabunge kutoka vyama vya upinzani tokea mabunge yaliyopita(ukiacha kawe na ubungo 2010),ukiangalia msukumo uliopo arusha,mara,mbeya ,kigoma,songea,kagera,mwanza nk utaliona hilo.Je ni kwanini wana dar hawana mwamko sana wa kimapinduzi na ukizingatia wajanja wengi wapo hapo?
Nawasilisha ukumbini

I hate to say but ndio shina halisi la mafisadi.
 
Dsm wanajua haki zao hawawezi kuingizwa mkenge wa kijinga kama wengine wa huko mikoani. Jimbo kama la Ilala linachangia 80% ya mapato ya serikali ya kila mwezi, sasa unafikiri wa kuja anaweza kulishika hilo jimbo? Hata CHADEMA japokuwa makao makuu yao yapo hapa dar waliogopa kuliingia hilo jimbo
80% unaumwa wewe! kwani viwanda Dar vipo wap?
 
Dsm wanajua haki zao hawawezi kuingizwa mkenge wa kijinga kama wengine wa huko mikoani. Jimbo kama la Ilala linachangia 80% ya mapato ya serikali ya kila mwezi, sasa unafikiri wa kuja anaweza kulishika hilo jimbo? Hata CHADEMA japokuwa makao makuu yao yapo hapa dar waliogopa kuliingia hilo jimbo
Mawazo ya kijinga au hujui maana ya 80%.
 
Wana JF
Kwa mtazamo wangu naona watu wa mikoani wamejitambua muda mrefu na hata kuchagua wabunge kutoka vyama vya upinzani tokea mabunge yaliyopita(ukiacha kawe na ubungo 2010),ukiangalia msukumo uliopo arusha,mara,mbeya ,kigoma,songea,kagera,mwanza nk utaliona hilo.Je ni kwanini wana dar hawana mwamko sana wa kimapinduzi na ukizingatia wajanja wengi wapo hapo?
Nawasilisha ukumbini


Si kweli Kuwa Dar-es-salaam hawana mwamko kama kumbukumbu zako zinafanya kazi, majimbo ya Kigamboni na Temeke yalikuwa ya mwanzo ktk miaka ya 90 kutoa wabunge toka vyama vya CUF na NCCR.mageuzi(Lyatonga Mrema)! huku majimbo mengine yalileta vurugu mpaka uchaguzi kurudiwa mara 2 mwaka 1995!

Dar ni jiji la kwanza bara kuwa na harakati za ukombozi pale wananchama wa CUF walipokuwa mstari wa mbele kuonesha ungangari mbele ya CCM na kusababisha hata Polisi kuuwa waandamanaji wa CUF mwaka 2001 sambamba na Visiwani! lakini la kusikitisha wenzao wa vyama vingine kama CDM waliwasusia kichinichini na kueneza propaganda kuwa CUF ni chama cha kidini na kuwavunja moyo wana CUF na kuiacha DAR iwe na upinzani mmoja tu CUF!

Sasa kwa kweli sijui CDM wakati huo labda walikuwa na muafaka wa siri na CCM ndio maana uchaguzi wa 2000 CUF walipoteza jimbo la kigamboni huku jimbo kama la Temeke likiwa na taharuki na uchakachuwaji!

Kwa hiyo ndugu yangu usiwalaumu wakazi wa Dar bure, kwani walikuwa mstari wa mbele kutaka kuleta mabadiliko lakini wameangushwa na ubinafsi wa baadhi ya vyama vya siasa!
 
hivi dodoma, singida,arumeru,monduli,simanjiro kuna uswahili?

Kama hakuna uswahili lakini lazima kutakuwa na element za Ignorance. Na hiyo ni problem kubwa jamii inayoangukia humu huwa inapoteza hope na iko tayari kuwa lured like a dog, you can add Mtwara, Lindi and Ruvuma in this group, there is a need to empower people from these regions for a change simply because CCM treats them as gullible and soft target.
 
Watu wa Dar wanasababu nyingi
1:Wanaishi kwa kutegemea ajira,zilizo rasmi na zisizokuwa rasmi
2:Wanatazama kuhusu hukweli wa viongozi wanaona wanapoteza mda wao
3:Niwaoga kupita maelezo
 
Hapana si kwamba wamelala bali ni uchakachuaji tu ndugu, mmesahau yaliyotokea SEGEREA,KIGAMBONI ila kinondoni ndo wanaofaidi hii nchi ndo wanakotoka wahindi, Asian na Mafisadi wamejaa huko lazima walindane, temeke mm sijui
 
Dar es Salaam wanajua haki zao zote ndiyo maana hawataki mabadiliko kama mikoani . Wakibadilika Kipindupindu kitakwisha ambacho ni mradi mkubwa wanaoupenda kuandikwa magezetini kama sifa, mara uchafu, mara mgao wa umeme, mara maadamano ya magari yaani foleni mara kunywa maji machafu vyote hivyo shauri ya kulala na kutotaka mabadiliko.
 
Wajanja wengi au wezi wengi ndio wapo dar.
Dar wizi mtupu kuanzia kwenye ngazi ya umachinga hadi mainvestors wakubwa.
Watu wa dar wanaangalia nafsi zao na mapinduzi ya kweli unatakiwa uangalie nafsi za wengine.
 
Nikitaka kiwanja Dar nauliza mnywa kahawa yupo wapi nimsogeze porini. Nasikia wanahamia kisarawe na uko kwingine. Huduma nzuri ikifika napo wanahamishwa. hii ndiyo dawa.
 
Alituletea Nyerere, sasa tutahakikisha hawashiki, especially Ilala, Kinondoni Temeke. Kwingine huko ni nje ya Dar.

na huko tmk, ilala na kinondoni ndo kuna watu wanalala njaa kila siku maskini wa kutupa

wanaama asubuhi wanaamkia kwenye kucheza bao wakati wenzao wanatafuta hela

unafikiri kwa nini hao wanaokulipa kuja kutetea ujinga humu hawaishi huko? pambaaaaaaaaaf
 
Si kweli Kuwa Dar-es-salaam hawana mwamko kama kumbukumbu zako zinafanya kazi, majimbo ya Kigamboni na Temeke yalikuwa ya mwanzo ktk miaka ya 90 kutoa wabunge toka vyama vya CUF na NCCR.mageuzi(Lyatonga Mrema)! huku majimbo mengine yalileta vurugu mpaka uchaguzi kurudiwa mara 2 mwaka 1995!

Dar ni jiji la kwanza bara kuwa na harakati za ukombozi pale wananchama wa CUF walipokuwa mstari wa mbele kuonesha ungangari mbele ya CCM na kusababisha hata Polisi kuuwa waandamanaji wa CUF mwaka 2001 sambamba na Visiwani! lakini la kusikitisha wenzao wa vyama vingine kama CDM waliwasusia kichinichini na kueneza propaganda kuwa CUF ni chama cha kidini na kuwavunja moyo wana CUF na kuiacha DAR iwe na upinzani mmoja tu CUF!

Sasa kwa kweli sijui CDM wakati huo labda walikuwa na muafaka wa siri na CCM ndio maana uchaguzi wa 2000 CUF walipoteza jimbo la kigamboni huku jimbo kama la Temeke likiwa na taharuki na uchakachuwaji!

Kwa hiyo ndugu yangu usiwalaumu wakazi wa Dar bure, kwani walikuwa mstari wa mbele kutaka kuleta mabadiliko lakini wameangushwa na ubinafsi wa baadhi ya vyama vya siasa!
Madogo wa juzi hao hawajui kama temeke,kigamboni zilikua upinzani wao wanaona kama chadema ndio imeanza kuchukua majimbo dar!
 
Mkuu kumbuka maandamano,mikutano nk vyoote kwa vyama vyote vinaandaliwa hapa dar. Dar is every thing ila tunakuja mikoani kutekeleza kilichoazimiwa dar. Kwa iyo dar hawajalala,ndo chanzo cha chachu zote. Mfano Viongozi wote wa cdm waliokamatwa Arusha wanamakazi makuu dsm. Usichukulie kuibiwa majimbo ya dar na ccm kuwa ndo dar imelala,no plz,dar tuko active!
 
Watz wa dsm wako chini ya vigezo vingi mno. Kubwa lao ni maisha. Wengi wao ni wajasilia mali. Hawa ni wale, bila chapaa basi kila kitu hakiendi, wafanyakazi nao mshahara hautoshi. Omba omba ni wengi mno, mateja ni kabisa. Hapa asilimia kubwa ni wale waliokata tamaa na kuridhika na matatizo yao ukizingatia kwamba wengi ni wakuja. Inashangaza sana utakuta kwamba hata mambo ya jamii inakua ni mtu mmoja mmoja. Je mambo ya uchaguzi siitakuwa zaidi ya hapo?. Wapenda mabadiriko tupo wengi lakini tumezingirwa na roho ya kukata tamaa. Fikiria temeke, watu wake ni wale wa hali ya chini mno. Ilala pia wale wale tu. Tofauti na kinondoni imejazwa na watu wa kutoka AR,MS,MZ,TARIME n.k. Watu hawa ni wale wasiopenda ujinga katika mstakabari mzima wa haki na maisha.
 
Back
Top Bottom