Dar es Salaam, ljumaa ya leo rahaaaaa

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Feb 18, 2010
4,063
4,058
Kuna kijimvua na hali tulivu kabisa. Hakuna majotro, hali hii inahamasisha sana bia na nyama choma, kisha umalizie na totoz bila ya kusahau matumizi muhimu ya condom
 
Nimeishafanya booking kwenye massage parlour moja ina totoz za ukweli
 
Jux naomba ramani ya hio massage parlour. usihof mimi nina booking tayari.
 
  • Thanks
Reactions: Jux
Astakafirlah!! astakafirlah!! astakafirlah!! ......
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">kitambi pia usikisahau</span></font></font>
<br />
<br />
ndio maana huwa naamka mapema sana kupiga seat ups, kama wewe unajibwetesha itakula kwako na minyama uzembe
 
Yaaani Hizi castle lite na kabaridi haka na chenyewe cha baridiiiiiiiiiiii...raha mustarehe kama tupo amsterdam vile..hapa imemisi totoz moja ini pet pet tu dah ijumaaaa rahaaa
 
Haya dsm, mmeamua kutunyanyasa tulio kwenye majoto, lakini hata sisi leo poa joto 35
 
Yaaani Hizi castle lite na kabaridi haka na chenyewe cha baridiiiiiiiiiiii...raha mustarehe kama tupo amsterdam vile..hapa imemisi totoz moja ini pet pet tu dah ijumaaaa rahaaa
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Yaaani Hizi <b>castle lite</b> na kabaridi haka na chenyewe cha baridiiiiiiiiiiii...raha mustarehe kama tupo amsterdam vile..hapa imemisi totoz moja ini pet pet tu dah ijumaaaa rahaaa
<br />
<br />
jamaaa unajipenda sana wewe. Hebu scrow phonebook yako lazima utapata namba ya mrembo mmoja loose
 
Jux naomba ramani ya hio massage parlour. usihof mimi nina booking tayari.

wapi huko kaka tuelezana ili nasisi tukapate huduma mkuu
Wakuu nimewasoma kama vipi ibukeni pande za maeneo ya Rose Garden kabla haujafika TCU karibia na TMARC kuna massage parlour ya ukweli na totoz za uhakika kuna za kibongo na kutoka thailand na Philippines
 
Wakuu nimewasoma kama vipi ibukeni pande za maeneo ya Rose Garden kabla haujafika TCU karibia na TMARC kuna massage parlour ya ukweli na totoz za uhakika kuna za kibongo na kutoka thailand na Philippines


Huduma zote zinapatikana mkuu? mpaka ile kubwakubwa amabyo wanasema eti tz bila ukimi inawezekana wakati mi naona siyo
 
Mbona hiyo kawaida sana huku kwetu Ar chunga!nyie wa Dar siku moja tu mnajidaaai!Ok!Take care
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom