The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,885
hivi kwa nini maana halisi ya jiji la daresalaam inapotoshwa?utasikia watu wengi wanasema maana ya jiji la daresalaam ni bandari salama....
wakati maana halisi ya daresalaam ni PEPO YA AMANI....AU HEAVEN OF PEACE...
KIARABU bandari ni bandar....ndo maanna mji mkuu wa brunei unitwa
bandar salama,
halafu hilo kosa ni kila siku...why???????
wakati maana halisi ya daresalaam ni PEPO YA AMANI....AU HEAVEN OF PEACE...
KIARABU bandari ni bandar....ndo maanna mji mkuu wa brunei unitwa
bandar salama,
halafu hilo kosa ni kila siku...why???????