Dar es Salaam ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,834
Nawasalimia wana JF wote.

Leo ni siku njema tumeamka salama.

Dar es salaam yaani Bongo ina eneo kubwa zaidi ya Nairobi.
Eneo la mraba la dar es salaam ni km za mraba 1590.5 huku ukubwa wa Nairobi ni kilomita za mraba 698.

Huku dar es salam estimation ya population ya dar es salaam ikiwa ni 4,360,000 huku nairobi ikiwa ni 3,200,000

Kwahiyi basi dar es salaam ipo na akiba kubwa ya eneo na haijawa na density kubwa ya watu ukilinganisha na Nairobi.
Uwezekano wa kuuendeleza na kuwa modern city ni mkubwa sana ukilinganisha na Nairobi.

Halafu jambo jingine la muhimu kuelewa. Sasa hivi Tanzania ipo na mpango kabambe wa kuhamishia shughuli zote za serikali Dodoma na tayari office ya waziri mkuu imeshahamia.

Sasa basi kuhamia Dodoma kutaifanya Dar es salaam iwe na nafasi kubwa na kubaki mji wa kibiashara Africa Mashariki na Kati.

Hayo maoni yangu.
Vipi ndugu zangu wakenya mnasemaje?

Sources
Nairobi - Wikipedia


Dar es Salaam - Wikipedia
 
London - Wikipedia
London
Greater London encompasses a total area of 1,583 square kilometres (611 sq mi )

Kwa analysis yako hio dar ni kubwa kuliko london, mnachefua etii!!
 
London - Wikipedia
London
Greater London encompasses a total area of 1,583 square kilometres (611 sq mi )

Kwa analysis yako hio dar ni kubwa kuliko london, mnachefua etii!!
Tunatoa comparable things.
Tayari London ilishaendelea zamani. Na moja ya kigezo cha kuendelea ni biashara ya utumwa.

Tunaongelea mordan city possibility ya ku expand na kuwa business center east and central Africa.

Dar ipo na posibility kubwa ya kuwa modern city than Nairobi.

1. Ipo na population density ndogo
2. Ipo na maeneo mengi yaliyo wazi
3. Ipo road receive kubwa
4. Hajawa na majengo mengi. Yaan concentrated buildings
5. Ipo located karibu na bahari
6. Watu wanaoishi dar ni wastaarabu
7. Hakuna matishio ya kigaidi
8. Ina connection na nchi nyingi land locked

Na sababu nyingine nying positive unaweza kuweka.
 
Serikali inayohamia dodoma unadhani dar speed yake yaukuaji itaathirika vipi....watu wameanza kununua viwanja dodoma kwa kasi mpaka CDA wamepiga watu stop....kuna baadhi ya vitu vitaenda taratibu pale serikali itakapohama kabisa Dar
 
Nairobi is slumy, (kibera and mathare and kariobangi are the largest slums on eearth), , unimaginable traffic jams....congested (area per population), and the public transport system in nairobi is pathetic.
Yeah jibambe
1478959569982.jpg
1478959622011.jpg
1478959629007.jpg
1478959636347.jpg
1478959644348.jpg
1478959655736.jpg
1478959668868.jpg
1478959693137.jpg
1478959713513.jpg
1478959729596.jpg
1478959745497.jpg
1478959759428.jpg
1478959773596.jpg


Anyway Let me excuse you!!

1478959827357.jpg
 
Nairobi is slumy, (kibera and mathare and kariobangi are the largest slums on eearth), , unimaginable traffic jams....congested (area per population), and the public transport system in nairobi is pathetic.
FYI, Kibera and Mathare are not the biggest slums on Earth, not even in Africa. They were lies made up by the NGOs to fleece the donors........hey, but what is the point of explaining a crack-brain like u these sort of stuff anyway?
 
Back
Top Bottom