Nimeuliza TAANESCO wamesema, wakati umeme unarudi, kuna maeneo ambayo tayari muda wa "mgao ulikuwa umefika", kwahiyo maeneo hayo umeme utakuwa haujarudi mpaka baada ya masaa ya "mgao" wao kukamilika!
Jamani nisaidieni, nina ugomvi mkubwa na Tanesco. Kwanza tulikuwa tunalipa ankara za umeme kwao kila mwezi iweje leo wawe wanadaiwa na Dowans, ina maana pesa yote walikuwa wanachikichia? pili hii biashara ya umeme kwanini isiwe ya ushindani kama ilivyo kwenye secta ya mawasiliano ya simu za mkononi? Ona siku hizi tunapeta katika simu ingawa Tanesco hao hao wanajaribu kuwaangusha kwa kukosa umeme.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.