Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Kuanzia saa Nane Usiku wa kumkia leo 8/03/2011 umeme umekatika sehemu kubwa sana ja jiji la Dar es Salaam.
Hadi muda huu (saa Moja asubuhi) bado umeme haujarudishwa na TANESCO hawajatoa maelezo yoyote pamoja na kuwapigia simu zaidi ya mara 200 bila kupokelewa!
Hadi muda huu (saa Moja asubuhi) bado umeme haujarudishwa na TANESCO hawajatoa maelezo yoyote pamoja na kuwapigia simu zaidi ya mara 200 bila kupokelewa!