Chilipamwao
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 523
- 128
cha ajabu ni kwamba wapo nje kila siku, sijui hawaoni kule wanakoenda, au hata hawatamani na kwao pawe vile, kazi kweli kweli
Hapa umelonga kaka, mimi nilikuwa NAIROBI juzi tu na niliingiwa na wivu sana. Yaani tuna viongozi maboga kabisa