kijanaa wa maro
Member
- May 22, 2013
- 8
- 2
Tatizo la Dar es salaam viongozi wanaangalia ni wapi watapiga ela nao wajenge majengo yao holela, hakuna anayefikiria miundo mbinu kabisa.Hapa umelonga kaka, mimi nilikuwa NAIROBI juzi tu na niliingiwa na wivu sana. Yaani tuna viongozi maboga kabisa