Dar es Salaam City in Photos

5402761084_f394882f82_b.jpg
 
vikangua anga vikichomoza ndani ya CBD, miundombinu chini ni ile ile, yakifika shingoni wataanza kurekebisha, maana wabongo huwa wanasubiri mpaka tujute ndio waanze kushughulikia mambo
thechangingdarskyline.jpg
 
Vikwangua anga vizuri hasa zikiwa designed kisasa lakini kwa sasa wange tafuta maeneo makubwa na kujenga mini city within Greater Dar es Salaam ambavyo vina miundombinu yanayo kidhi mahitaji ya jiji la kisasa.

Sasa kutokana na ujenzi wa hizi vikwangua anga DSM, bado tutaona nyingi kujengwa ndani ya CBD. LAPF wamefanya jambo la maana saana kujenga ghorofa 27 pale millenium towers.
 
Dar CBD na makazi ya watu, kuna barabara kuu nne kama sikosei zinazoingiza na kutoa watu ndani ya jiji,kama barabara kadhaa zingeongezwa hapo ktikati, msongamano ungepungua, kwani watu kama wa tabata, gongolamboto wasingekua na lazima ya kytumia nyerere road tuu, ingesaidia sana, au barabara inayotokea karume ingepasua moja kwa moja katikati ya vingunguti na kuisaidia barabara ya nyerere,
4836820680_2c56ea3034_b.jpg
 
MAJENGO HAYA YATAKUA MAREFU KULIKO YOTE JIJINI DAR KABLA MCHIKICHINI HEIGHTS AMBAYO ITAKUA NA ZAIDI YA GHOROFA 50 KUJENGWA, TWIN TOWER HIZI ZITAKUA NA 35 FLOORS NA UJENZI TAYARI USHAANZA NDANI YA JIJI LA DAR

DSC03096.jpg

2-21.jpg


1-27.jpg
 
Mbona picha ya zamani sana hii mkuu, hapo kwenye parking lot(2 storey) kuna kitu kilichopanda zaidi ya ghorofa 8!Kushoto kwake Mambo Ya Nadani vile vile kuna kiti kimepanda.

ni kweli picha hii ni ya zamani sana, eneo hili sasa hivi linaonekana hivi
DSC08198.jpg
 
Jengo la PPF Tower limegaragazwa vibaya... sasa hivi hata halionekani...
Sasa hivi bongo ni kugaragazana tuu, hata hivyo hilo jengo litagaragazwa sasa hivi na hili hapa linajulikana kama UHURU HEIGHTS lina ghorofa 27, litafuatiwa na lingine lenye 24 pale umoja wa vijana , na muda si mrefu yote yatagaragazwa na pspf twin towers ambazo ujenzi wake ushaanza, zitakua na ghorofa 35, yaani hizo twini tower za BOT zitaingia mara mbili kwenda juu.

Angalia hizi picha, jengo ambalo halijakamilika kule mbele ni uhur heights na pemebeni yake ni VIVA TOWER nadhali litakua na ggorofa 22 pia

3-12.jpg

2-14.jpg
 
MGAO WA UMEME, TANZANIA, KUMBE HAKUNA TOFAUTI NA NCHI NYINGINE ZA SUB SAHARAN AFRICA, CHEKI AFRICA USIKU NA MCHANA
1600.jpg


115211.jpg
 
Back
Top Bottom