Dar: Barabara mitaa ya Posta zafungwa kwa muda, watu wametaharuki

inatia huruma kwa kweli kuona tunaingia kwenye umwagaji wa damu pasipokuwa na kiongozi mwenye msimamo na taifa letuu
maisha haya tuataamkumbuka sana BWM kwa kuongoza taifa hili kwa haki na usaawa na kuwa na msimamo wa dhati na taifa hili bali mafisadi hawapendi wajilimbikizia mali na kila uchao wanaenda safarii tuu bila hata chembe ya woga dhambi inawatesa sasa kwa upande mwingine ni haki kwa waisliamu kulilia rasilimali ya nchi hii kama wazalendooo na taifa hili
Je nataka kujua na katika hili chadema wanahusika nalo pia?mana kila kitu huwa tunaseama chadema na kundi lao je na hili wanahusika
nataka kuckia kauli za wana mapinduzi aka magambaaaaaaa

9k=

Sababu ndio hizi.
 
Si mtupe mahakama ya kadhi, kwani mmesahau ahadi ya chama chetu ya kuwa suala la mahakama ya kadhi litapatiwa ufumbuzi?????????? Msipotupa haki yetu, sisi tutajichukulia.

Fanyeni kazi, acha kukaa barazani nakudai haki zenu. Changisheni wenyewe kwa wenyewe, sio KODI inayokusanywa kwa ajili ya mambo ya msingi nchi itumike kwa watu wasiopenda kujishughuli.
 
Kwa namna hii, mambo ni shwari kabisa tuende nyumbani tukapumzike. Jamaa wamesha dhibitiwa na nguvu ya dola hawawezi tena kufurukuta na kusababisha vurugu.

Ila dola itafute mzizi wa hali hii inayojirudia Tanzania na kutafuta mkakati-endelevu wa ujenzi wa umoja wa kitaifa maana vurugu hizi za 'kidini', POLISI wa Tanzania hawajazoea kukaa mabarabarani na ktk vizuizi 24/7 (siku nzima, wiki nzima, mwezi mzima, miaka yote).
 
Mahakama ya kadhi my foot, yaani sisi ambao siyo waislam tulipe kodi kwa kuendesha mahakama zenu, kamwe serikali isikubali huu ujinga!

kwani kodi yako ilipoilipa dowans umechukua hatua gani????wakiitwa walipa kodi na wewe utatoka????
 
Kwa namna hii, mambo ni shwari kabisa tuende nyumbani tukapumzike. Jamaa wamesha dhibitiwa na nguvu ya dola hawawezi tena kufurukuta na kusababisha vurugu.

Ila dola itafute mzizi wa hali hii inayojirudia Tanzania na kutafuta mkakati-endelevu wa ujenzi wa umoja wa kitaifa maana vurugu hizi za 'kidini', POLISI wa Tanzania hawajazoea kukaa mabarabarani na ktk vizuizi 24/7 (siku nzima, wiki nzima, mwezi mzima, miaka yote).

nguvu hiyohiyo itumike kudhibiti waandamanaj holela wa chama chetu kileeeeeee
 
Jamani wanajamvi acheni utani, sisi tuko mbali na Dar lakini huko mnakosema ndipo wanetu wapo wakisoma. Hivi hata wengine wameingia huko muda si mrefu na hawajui kinachoendelea. Hivi hali kioje. maana naona taarifa za kukinzana jamvini kusu hili.
Ni vyema ukapata taarifa kwa usahihi, hapo ni kuwa mkuu wa kaya alikuwa anaandaliwa njia ya kupita wakati wa kurudi ikulu
 
Fanyeni kazi, acha kukaa barazani nakudai haki zenu. Changisheni wenyewe kwa wenyewe, sio KODI inayokusanywa kwa ajili ya mambo ya msingi nchi itumike kwa watu wasiopenda kujishughuli.

Kwani ninyi mnalipa kodi kwenye biashara mnazofanya???? Mna mahospitali, Bugando, KCMC, nakadhalika, mna shule na biashara nyingi tu, kwani mnalipa kodi????? iweje muone nongwa kwa mambo madogo kama hayo????? Hamutaki, Mnataka KITAELEWEKA. Mambo mtindo mmoja kama Tunisia, Libya na kwingineko
 
Kwani ninyi mnalipa kodi kwenye biashara mnazofanya???? Mna mahospitali, Bugando, KCMC, nakadhalika, mna shule na biashara nyingi tu, kwani mnalipa kodi????? iweje muone nongwa kwa mambo madogo kama hayo????? Hamutaki, Mnataka KITAELEWEKA. Mambo mtindo mmoja kama Tunisia, Libya na kwingineko

mawazo mgando hayo mkuu, kwani nyie mmekatwazwa kuanzisha mashule na mahoapitali?? acha kufikiri kwa ufupi
 
Ufumbuzi ni pamoja na kuamua kuwa haihitajiki. Jk anajua kiswahili cha kuombea kura. 2015 mtaambiwa tena 'tutaliangalia kwa upya', mnapiga kura tena na tunapata jibu lile lile. Hivi waroma wakiamua wanataka mahakama yao mtakubali?
Si mtupe mahakama ya kadhi, kwani mmesahau ahadi ya chama chetu ya kuwa suala la mahakama ya kadhi litapatiwa ufumbuzi?????????? Msipotupa haki yetu, sisi tutajichukulia.
 
iingizwe kwenye nini?? mboma watu mnaving'ang'anizi hivi?? selikali haina dini lakini hamaikii tu.

Tatizo si suala la serikali kuwa na dini, Kinachozungumziwa hapa, ni ahadi ya chama chetu tawala la kufikia mwafaka wa suala la mahakama ya kadhi, ili haki za dini yetu zitambulike kisheria, ili kila atakayehukumiwa serikali iheshimu hukumu hiyo.
 
I hope huko ikulu hawatafanya 'amani' kama ya mbagala. Otherwise mikeka ya kuswalia itakuwepo ile ya kufuturishia.
 
Back
Top Bottom