Dar, Arusha, Mwanza Na Mbeya, Yako Wapi Mageuzi?

Tutazunguka weee lakini jibu ni simpo especially kwa Dsm watu hawajiandikishi na walijiandikisha huwa hawapigi kura......period. Kamvua kakinyesha kidogo tu basi ni kisingizio cha kutokupiga kura.
 
Tutazunguka weee lakini jibu ni simpo especially kwa Dsm watu hawajiandikishi na walijiandikisha huwa hawapigi kura......period. Kamvua kakinyesha kidogo tu basi ni kisingizio cha kutokupiga kura.

Kama watu hawajiandikishi, hao wanaotangazwa kushinda wanapatikana vipi? Tatizo kubwa ni wizi wa kura unaofanywa na CCM. Na kama madai yako kuwa watu hawajiandikishi yatakuwa na chembe ya ukweli, basi sababu ya kutojiandikisha ni huko kukatishwa tamaa na hizo mchezo mchafu wa CCM kuiba kura na ubabe wao wa kutawala kwa nguvu. Kutokuwa na tume huru ya uchaguzi, vyombo vya dola (polisi, jeshi, na usalama wa Taifa kwa mfano) hutumiwa na CCM kulinda vituo vya kupigia kura na hivyo kutengeneza mazingira rahisi ya kuiba kura. Mbali na vyombo hivyo kusaidia kufanikisha wizi wa kura pia vinawalazimisha wafanyakazi wa vyombo hivyo kuipigia kura CCM. Kwa mfano, kwenye makambi ya Majeshi na ya polisi huko wanaamrishwa kuipigia kura CCM.
 
Arusha tuliwapiga chini CCM lakini tusahau kulinda kura za mheshimiwa Lema, F Mrema akisaidiwa na usalama wa taifa wakafanikiwa kuiba kura.Mwaka huu tulimchagua tena diwani wa TLP kata ya sombetini baada ya kazi nzito ya kulinda kura lakini tena jamaa wa CCM wakamwaidi nyumba ya kisasa eneo la njiro hapa jijini Arusha diwani wetu akajiuzulu.Wakaazi wa mjini Arusha tulishaonyesha njia siku nyingi nadhani mnakumbuka tulimchagua Makongoro Nyerere mwaka 1995.
 
Arusha tuliwapiga chini CCM lakini tusahau kulinda kura za mheshimiwa Lema, F Mrema akisaidiwa na usalama wa taifa wakafanikiwa kuiba kura.Mwaka huu tulimchagua tena diwani wa TLP kata ya sombetini baada ya kazi nzito ya kulinda kura lakini tena jamaa wa CCM wakamwaidi nyumba ya kisasa eneo la njiro hapa jijini Arusha diwani wetu akajiuzulu.Wakaazi wa mjini Arusha tulishaonyesha njia siku nyingi nadhani mnakumbuka tulimchagua Makongoro Nyerere mwaka 1995.

Eti Mliwashinda CCM kisha wakaiba kura, sawa kama mngempigia 100% wangiba nini? ndugu zangu wa mjini hetbu tuna tatizo gani? huku ndiko magazeti mengi, uelewa wa kutosha, TV ............. za kumwaga, ni kwanini mageuzi haya yasianzie hapa mijini jamani? kuna tatizo gani jamani??????????????
 
Eti Mliwashinda CCM kisha wakaiba kura, sawa kama mngempigia 100% wangiba nini? ndugu zangu wa mjini hetbu tuna tatizo gani? huku ndiko magazeti mengi, uelewa wa kutosha, TV ............. za kumwaga, ni kwanini mageuzi haya yasianzie hapa mijini jamani? kuna tatizo gani jamani??????????????

Ndugu yangu Isaya,

Inaonyesha wewe huishi Tanzania na huijui CCM. CCM wanaweza kuandaa mabox ya kura zilizopigwa tayiri kabla ya uchaguzi. Wakiona wameshindwa kwa kura halali, huwa wanafanya mizengwe ya kutumia kura za mabox yaliyoandaliwa. Kazi hiyo huwa inafanywa kwa kushirikiana na vyombo vya usalama.

Aidha sidhani kwamba ni lazima ushindi wa wapinzani uwe wa asilimia 100. Ujue hata CCM ina wanachama na wapenzi wake ambao wananufaika kwa kuendelea kubaki madarakani chama hicho. Kwa ajili hiyo CCM haiwezi kushindwa kwa asilimia 100 kama unavyodhani.
 
Iweje CCM washinde mijini? jamani tunaamini huku mijini ndiko kuna uelewa mkubwa, magazeti mengi, Redio za kutosha na TV!!!!!!!!

Mijini ndiko kunafukuzwa wamachinga, watu kubomorewa majumba, hebu inakuweje jamani?

Waandishi wote wanaishi mijini.

Wasomi wote wanaishi mijini...................., jamani nielezeni kuna nini? ama CCM huku mjini wanafavya kamchezo gani? ina maana hata wewe uliwachagua ccm 2005?

JF nisaidieni kuna nini basi hatupati kufanya mapinduzi huku mjini na badala yake yake mapinduzi yanafanyika kule Karatu, Tarime,Mpanda na Bariadi?


Jamani kuna nini huku Arusha, Mwanza, Dar na hata hapa Mbeya?

wasomi na watu wamjini watakwambia kaelimisheni watu wa vijijini maana hawajui lile wala hili.
sijui watu wavijijini kwa kutokua na elimu yao wanawashikia kalamu wasomi na watu wa mjini kutochagua upinzani??

Tatizo la TZ ni tatizo la kitanzania si tatizo la chama.
 
wasomi na watu wamjini watakwambia kaelimisheni watu wa vijijini maana hawajui lile wala hili.
sijui watu wavijijini kwa kutokua na elimu yao wanawashikia kalamu wasomi na watu wa mjini kutochagua upinzani??

Tatizo la TZ ni tatizo la kitanzania si tatizo la chama.

Hapo kweli ipo kazi, kama wasomi tunaowaamini wanafikia mahri pa sitomfahamu, na pia kutopiga kura sijui hao ambao hawana elimu wafanyeje? Etii Kule Dar hakuna hata Mbunge wa upinzani hata mmoja, Arusha HAKUNA HATA MMOJA, NA KULE Mbeya oooohhh..... ndiyo hakuna kabisa!!! Hebu inakuaje?
 
Back
Top Bottom