EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
- Thread starter
- #61
huyo ni mtafiti anayefanya almost some kind of (if not) ethnography huko vijijini, kakaa darisalama, tumemuambia aende hakiardhi n.k., labda kashaenda ila ndio hivyo kuna majuzuu nakuambia makubwa hayo yapo pale kuhusu wananchi walisema nini kuhusiana na ardhi na kwa ujumla mengi waliyoyasema yanahusiana na hiyo villagization - sasa kwa kuwa hajawekewa online ndio afanye hayo mahitimisho? kuna kina shivji,hadjivayanis,kapinga na waanzilishi wengine wa hakiardhi, waliandika makabrasha kibao na mpaka wengine wakaenda kufungua makesi ya kutetea wafugaji na wakulima huko ( hata ringo tenga mwenyewe naye enzi za uwanaharakati alichapisha pia kuhusu hayo masuala)!
Also, the library of the Institute of Development Studies at the University of Dar eS Salaam, have some academic materials on this matter. Its own resource centret houses a collection of materials to support the course work and research . There is a working collection of approximately 1500 volumes, 250 of which are recently published books that have been acquired in the last two years.