Daniel Porokwa abwagwa udiwani Monduli

Kanusu&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Join Date : 29th August 2011&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Posts : 1&lt;br /&gt;<br />
Rep Power : &amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;&amp;nbsp;0&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
duh... kazi ipo
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
 
Moods Mpigen BAN huyu New comer,mpeni Nusu saa,sipokuja ku clarify Mjue ni Muongo na ana stahili BAN
 
Hili tatizo. Hivi wanajamvi huo uchaguzi umetangazwa lini na NEC hata ufanyike tofauti na by elections nyingine. Habari iko nusu hii..
 
Humu ndana vichaa na wehu wanaruhusiwa kujiunga?. Huyu ni chz ametoroka mirembe!
 
Hili tatizo. Hivi wanajamvi huo uchaguzi umetangazwa lini na NEC hata ufanyike tofauti na by elections nyingine. Habari iko nusu hii..
<br />
<br />
nilihisi labda umetangazwa kimyakimya. **mayo.
 
Kanusu

Join Date : 29th August 2011

Posts : 1
Rep Power : 0

duh... kazi ipo
Ina maana huyu jamaa kajiunga leo JF kupost hii habari nusu kaputi? ushauri kwa wana JF mnapokuwa Bar mnakunywa viloba vyenu vya konyagi ni vyema simu zenu mkazipumzisha na mkaendelea na starehe zenu.
Haya ndio madhara mtu yupo kwenye vikao vya pombe lakini bado kisimu chake kinamuwasha ili mradi na yeye aposti kitu hapa JF. sasa huku ndio kupashana habari au ni upuuzi huu?
 
ni yule kuwadi wa mafisadi au kuna mwingine?

Ndiyo huyo huyo, lakini najiuliza vipi mafisadi walimtupa mkono wakati fedha inanunua mafanikio? Kumbe fedha pekee hazitoshi kumpendezesha mgombea uchwara mbele ya wapiga kura.
 
Threads zote zinazoreply zina ujumbe mmoja. Inawezekana mtoa mada hajajua kwa uzuri kutoa habari. Tukimshambulia tutamwondolea ujasiri wa kujifunza na kutoa habari kwa uzuri. Nashauri tumu-encourage kutoa habari yenyewe kwa mapana kuliko kumshambulia.
 
Kumbe akuna la maana bora nirudi kwenye post ya MANDAMANO INCHI NZIMA bye bye
 
Back
Top Bottom