Elections 2010 Damu yamwagika kawe na polisi consistance

bulunga

JF-Expert Member
Oct 24, 2010
303
49
HABARI ZA MAGAZETI ZINASEMA Mtu Mmoja kwa jina La Mushi alifanya funjo katika kampeni za uchaguzi jimbo la Kawe kwenye mkutano wa CCM, (obvious hakuwa mwana CCM) mtu huyo ali pigwa na wafuasi wa CCM na kuwekwa ndani na polisi, huko Mauti yalimkuta akiwa sero, AJABU ni kuwa hadi leo hakuna mtu aliekamatwa,kumbuka Maswa hadi leo kuna watu zaidi 10 wanatuhumiwa kwa mauaji ya dereva wa CCM, Hata Shibuda ambaye hakuwepo kwenye vurugu hizo alishikiliwa na polisi kwa muda mrefu, inakuwaje Leo mgombea wa CCM asiwekwe ndani akisubiri uchunguzi wa polisi ikizingatiwa kuwa yeye alikuwa akihutubia hapo. POlisi wanasema Mushi aliwapiga watuhumiwa wengiwe huko sero na alijibamiza kichwa kwenye ukuta, hatujamsikia Manumba wala Kova kwenda au kuzungumzia hili, UTENDAJI WA POLISI MBONA HAUKO CONSTISTANCE
 
kARIBU JAMII FORUMS Home of great Thinkers,

Au umebadilisha jina?
 
HABARI ZA MAGAZETI ZINASEMA Mtu Mmoja kwa jina La Mushi alifanya funjo katika kampeni za uchaguzi jimbo la Kawe kwenye mkutano wa CCM, (obvious hakuwa mwana CCM) mtu huyo ali pigwa na wafuasi wa CCM na kuwekwa ndani na polisi, huko Mauti yalimkuta akiwa sero, AJABU ni kuwa hadi leo hakuna mtu aliekamatwa,kumbuka Maswa hadi leo kuna watu zaidi 10 wanatuhumiwa kwa mauaji ya dereva wa CCM, Hata Shibuda ambaye hakuwepo kwenye vurugu hizo alishikiliwa na polisi kwa muda mrefu, inakuwaje Leo mgombea wa CCM asiwekwe ndani akisubiri uchunguzi wa polisi ikizingatiwa kuwa yeye alikuwa akihutubia hapo. POlisi wanasema Mushi aliwapiga watuhumiwa wengiwe huko sero na alijibamiza kichwa kwenye ukuta, hatujamsikia Manumba wala Kova kwenda au kuzungumzia hili, UTENDAJI WA POLISI MBONA HAUKO CONSTISTANCE
Hiyo ndo Tanzania ndiyo maana tunahitaji mabadiliko
 
Hutakaa uone Manumba huko mzee tena afadhali yametokea matokeo yanayofanana ya vyama viwili tofauti. Hutaona tume wala nini kwani hii serikali ina double standard kwa ufupi tu. uonevu ni mkubwa sana nchi hii
 
HABARI ZA MAGAZETI ZINASEMA Mtu Mmoja kwa jina La Mushi alifanya funjo katika kampeni za uchaguzi jimbo la Kawe kwenye mkutano wa CCM, (obvious hakuwa mwana CCM) mtu huyo ali pigwa na wafuasi wa CCM na kuwekwa ndani na polisi, huko Mauti yalimkuta akiwa sero, AJABU ni kuwa hadi leo hakuna mtu aliekamatwa,kumbuka Maswa hadi leo kuna watu zaidi 10 wanatuhumiwa kwa mauaji ya dereva wa CCM, Hata Shibuda ambaye hakuwepo kwenye vurugu hizo alishikiliwa na polisi kwa muda mrefu, inakuwaje Leo mgombea wa CCM asiwekwe ndani akisubiri uchunguzi wa polisi ikizingatiwa kuwa yeye alikuwa akihutubia hapo. POlisi wanasema Mushi aliwapiga watuhumiwa wengiwe huko sero na alijibamiza kichwa kwenye ukuta, hatujamsikia Manumba wala Kova kwenda au kuzungumzia hili, UTENDAJI WA POLISI MBONA HAUKO CONSTISTANCE

Mkuu hapo kwenye red sijaelewa. Ila unachosema ni kweli kabisa, huyu kwa kuwa amekufa kwenye mkutano wa CCM ametajwa kuwa alienda kufanya fujo wakati yule wa Maswa naye alienda kupiga muziki kwenye mkutano wa chama pinzani (kuwachokoza) na wala nabii Makamba hajapeleka upuuzi wake pale.
 
Yeah::: Marehemu yupo hospitali ya Mwananyamala na asubuhi yote ya leo Maafisa wa polisi kutoka Tegeta/Kawe Police Stations (OCID/OCD/e.t.c) walikuwa nje ya ofisi!
 
Mkuu hapo kwenye red sijaelewa. Ila unachosema ni kweli kabisa, huyu kwa kuwa amekufa kwenye mkutano wa CCM ametajwa kuwa alienda kufanya fujo wakati yule wa Maswa naye alienda kupiga muziki kwenye mkutano wa chama pinzani (kuwachokoza) na wala nabii Makamba hajapeleka upuuzi wake pale.

alimaanisha consistent.
 
HABARI ZA MAGAZETI ZINASEMA Mtu Mmoja kwa jina La Mushi alifanya funjo katika kampeni za uchaguzi jimbo la Kawe kwenye mkutano wa CCM, (obvious hakuwa mwana CCM) mtu huyo ali pigwa na wafuasi wa CCM na kuwekwa ndani na polisi, huko Mauti yalimkuta akiwa sero, AJABU ni kuwa hadi leo hakuna mtu aliekamatwa,kumbuka Maswa hadi leo kuna watu zaidi 10 wanatuhumiwa kwa mauaji ya dereva wa CCM, Hata Shibuda ambaye hakuwepo kwenye vurugu hizo alishikiliwa na polisi kwa muda mrefu, inakuwaje Leo mgombea wa CCM asiwekwe ndani akisubiri uchunguzi wa polisi ikizingatiwa kuwa yeye alikuwa akihutubia hapo. POlisi wanasema Mushi aliwapiga watuhumiwa wengiwe huko sero na alijibamiza kichwa kwenye ukuta, hatujamsikia Manumba wala Kova kwenda au kuzungumzia hili, UTENDAJI WA POLISI MBONA HAUKO CONSTISTANCE

Ungetumia hata kiswahili chake hapo kwenye red! lakini ujumbe umefika na ninaamini polisi katika siku hizi zilizobaki watakuwa fair kwa raia wote maana wao ni walinzi wa usalama wa raia na si walinzi wa chama chochote cha siasa!
 
Back
Top Bottom