Mganga wa Jadi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2008
- 280
- 51
hali ni mbaya muhimbili, nimejaribu ku post thread naona imemezwa na threads nyingine zilizokuwepo, lakini ukweli ni kwamba damu inahitajika muhimbili na kwa wale wenye mapenzi mema mnaombwa kwenda kusaidia ndugu zetu walio kwenye janga hili ambalo sio la kujitakia.