Muke Ya Muzungu
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 3,444
- 264
Tumeshuhudia kijana akijitoa mhanga kule Tunisia na hatimaye kuliokoa taifa lake kutoka mikononi mwa masultani. Vifo vya wapiganaji Morogoro, Iringa, Mabwepande, Mbeya na Arusha yawe ni chemchemi ya Ukombozi wetu kwani leo hao watawala wameligeuza nchi kuwa shamba lao na watoto wao.
Ridhiwani Kikwete anadiriki hadi kuingilia na kuvuruga vilabu vya mipira (Simba) kwa sababu ni mtoto wa Rais. January anawatishia watumishi wa Tanesco na Vodacom kwa sababu ni mtoto wa Makamba. Mwislamu, Mkristo, Wana CUF, CHADEMA, CCM. Wote tu Watanzania. Tusikubali kuonewa haki zetu tena.
Tujitayarisheni kulikomboa taifa. Damu ya David Mwagosi na wapiganaji wengine yaisimwagike bure. Yawe ni Chemchemi ya Ukombozi. Jitayarisheni kimwili na kiroho, kwani mabadiliko yako mlangoni. Hatuna Silaha, waacheni watuue, lakini hawatatumaliza wote. Tunawajua na mwisho wa siku watasimama mbele ya haki. Tukibaki na uoga wenu, wote tutakufa chini ya vitanda
Wenu Mpiganaji na Mbunge
Ridhiwani Kikwete anadiriki hadi kuingilia na kuvuruga vilabu vya mipira (Simba) kwa sababu ni mtoto wa Rais. January anawatishia watumishi wa Tanesco na Vodacom kwa sababu ni mtoto wa Makamba. Mwislamu, Mkristo, Wana CUF, CHADEMA, CCM. Wote tu Watanzania. Tusikubali kuonewa haki zetu tena.
Tujitayarisheni kulikomboa taifa. Damu ya David Mwagosi na wapiganaji wengine yaisimwagike bure. Yawe ni Chemchemi ya Ukombozi. Jitayarisheni kimwili na kiroho, kwani mabadiliko yako mlangoni. Hatuna Silaha, waacheni watuue, lakini hawatatumaliza wote. Tunawajua na mwisho wa siku watasimama mbele ya haki. Tukibaki na uoga wenu, wote tutakufa chini ya vitanda
Wenu Mpiganaji na Mbunge