Dalili za ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 waonyeshwa huko Zambia leo

Ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 umeonyeshwa leo huko Zambia kwani hadi hivi sasa matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo huko zambia wa urais unaonysha kuwa chama tawala cha MMD(Movement Multipart Democracy) kilicho chini ya Rupiah Banda kiko nyuma kwa kura kwa wastani wa asilimia 16% dhidi ya 78% ya chama cha upinzani cha PF(Patriotic Front) kilicho chini ya Michael Sata, hii ni dhahili kuwa wananchi wamechoshwa kwa kudanganywa na vyama vilivyoko madarakani,, kwa matokeo zaidi fuatilia MUVI TV YA ZAMBIA,,

Hadi naondoka mitamboni matokeo yalikuwa kama ifuaatavyo kwa mikoa yao,

Michael Sata PF, chama cha upinzani Rupiah Banda MMD chama tawala sasa.
10271 2912

9642 2794

20768 3901

14730 4509

20391 3637

10271 2912

14224 3142

13241 2317

9875 1543

16748 4323

15743 2754

Muda huu niko job mwenye matokeo zaidi kutoka MUVI TV atujuze ila hiyo ni salamu kwa CCM kutoka Zambia mnamo mwaka 2015,
Watu wa Zambia wanasema one Zambia one nation, no one can own Zambia Forever si maneno yangu bali ni maneno ya wapiga kura waliokuwa wakiimba ndani ya MUVI TV leo huko zambia.
By Chris Mfula

LUSAKA (Reuters) - Hackers attacked the website of Zambia's Election Commission on Thursday, posting a string of false results showing opposition leader Michael Sata in the lead and causing delays to the release of the official tally.

"The process appears to be slow because the results need to be verified before release," Commission spokesman Cris Akufuna said. Election officials are running double and triple checks with regional counting centres.

According to the latest confirmed tally from 33 of 150 constituencies in Africa's biggest copper producer, Sata had 265,843 votes against 192,936 for incumbent President Rupiah Banda of the Movement for Multi-party Democracy (MMD).

Banda is expected to perform the stronger in the countryside, which is likely to report votes more slowly than Sata's strongholds in the capital, Lusaka, and the Copper Belt, the country's economic heartland.

It is therefore too early to say whether Sata is on the verge of an historic transfer of power in the former British colony, removing the MMD from the presidency for the first time since the end of one-party rule in 1991.

"Results are still being tallied in some constituency centres, and we expect to make significant progress by the end of the day," Akufuna said.

The election was held on Tuesday and it may now take until the weekend for a complete result to be known.

Sata, known as "King Cobra" for his vicious tongue, has toned down his rhetoric against foreign mining firms, most notably those from China. But a victory for the 74-year-old would still cloud the investment outlook for what has been one of frontier Africa's most attractive prospects.

He lost to Banda, also 74, by just 35,000 votes, or 2 percent of the electorate, in a 2008 presidential run-off triggered by the death in office of Levy Mwanawasa.
 
Vyama vya upinzani kuchukua madaraka sio mara ya kwanza hivyo Zambia sio role model for change.Tambua vyama vikongwe barani Afrika havizidi vitano (5) hivyo katika Nchi zaidi ya 52 basi more than 90% ziliisha undergo party charges na still hizo parties (upinzani) zinatafunana zenyewe kwa zenyewe.
 
Ndugu yangu 'chama' ebu tumia akili kidogo, hizo fedha zinazotolewa na serikali ni za wananchi wa Tanzania sio takrima ni haki ya msingi kwa sheria iliyo pitishwa na bunge!!!!!!!!! Bunge sio chama cha CCM ni muhimili wa dola la Tanzania, tukitaka inabidi tuweke kwenye katiba mpya kuwa vyama vya siasa visipewe ruzuku!!!!!!!!! Vinginevyo chama cha siasa kikiwa na wabunge ni haki yao kupewa ruzuku, labda matumizi yawe mabaya maana hata CCM inapewa ruzuku na ni ruling party!!!!!!!! Katiba yetu ndio dira ya utawala na maisha ya nchi yetu ya Tanzania!!!!!!!!!

Ndugu yangu Mtumishi Wetu; mimi nimetumia akili kidogo na wewe jaribu kutumia HEKIMA kidogo. RUZUKU ni mtego mahsusi uliowekwa na serikali ya CCM, bunge lililopitisha ruzuku ni bunge la CCM (majority), katiba unayoiongelea ni ile ile ambayo ina mapungufu mengi sana na ndiyo sababu CCM tumepoteza dira ya uongozi, vyama vya siasa vinapaswa kupewa ruzuku wakati wa uchaguzi Raisi na si kusubiri kila mwezi free cheque kutoka kwa chama tawala, vyama vya upinzani vimeelekeza nguvu zaidi kwenye ruzuku badala ya kufikiria mbinu za kushinda uchaguzi wa Raisi. RUZUKU NI SUMU YA MABADILKO YA KISIASA TANZANIA! Mwangalie Mrema, Cheyo, Lipumba, Maalim Seif na wengineo, vyama vya upinzani vinajiendesha kama private enterprises kwasababu ya ruzuku.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
R.BANDA MMD 808596 E.CHIPIMO NAREP 8290 H.HICHILEMA UPND 350473 T.KAUNDA UNIP 8264 N.MAGANDE NMP 5104 C.MILUPI ADD 9051 G.MIYANDA Heritage 3538 F.MTESA ZED 1845 E.NAWAKWI FDD 4982 M.SATA PF 994090 ..CONSTITUENCIES COUNTED . 116; Not final results,34constituencies to go, situation is unstable
 
Ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 umeonyeshwa leo huko Zambia ... ila hiyo ni salamu kwa CCM kutoka Zambia mnamo mwaka 2015,
Watu wa Zambia wanasema one Zambia one nation, no one can own Zambia Forever si maneno yangu bali ni maneno ya wapiga kura waliokuwa wakiimba ndani ya MUVI TV leo huko zambia.

Mkuu.
Kujipa moyo ni jambo zuri.....lakini kwa katiba hii ya "wenye magamba" na polisi "wanaolinda " wanaotoa usalama kwa mikutano na maandamano ya wapinzani na tume" inayopewa" matokea ya kutangaza ushindi kwa mshindwa... safari ni ndefu.

Lakini ugoigoi wa vyama vya upinzani kushirikiana au kuwa na mkakati wa pamoja kwa hapa TZ...kuitoa CCM kwenye "kula" inataka msaada wa wale " wanaowasaidia" wabenghazi.
Hivi mbona CHADEMA na vyama vyengine vinavyojiita vya upinzani vipo kimya kuhusu" katiba mpya"?
2011 inaondoka...
 
Safi saana nimeipenda hiyo, this shows that freedom is on our way!!!

Usijipe moyo, freedom will only come your way if you work hard to write a new constitution to be used during the 2015 general elections; short of that the status quo will prevail upende usipende!! CCm will use all trcks in their books to delay the writing of the costitution until election time.
 
Usijipe moyo, freedom will only come your way if you work hard to write a new constitution to be used during the 2015 general elections; short of that the status quo will prevail upende usipende!! CCm will use all trcks in their books to delay the writing of the costitution until election time.
And this will be a real time for our revolution! Let them delay and do all tactics that will fuel people anger!
 


20119230428789734_20.jpg
Patriotic Front leader Michael Sata (above) lost the 2008 elections to Rupiah Banda by 2 per cent [EPA]

Opposition leader Michael Sata has been declared the winner of Zambia's presidential election, ousting incumbent Rupiah Banda as the leader of Africa's biggest copper producer in polls marred by public violence.
Chief Justice Ernest Sakala declared Sata the winner early on Friday, after he received 1,150,045 votes compared to Banda's 961,796 with 95.3 per cent of constituencies counted. Sata received 43 per cent of the vote also contested by many minor parties.
Rupiah Banda, 74 and leader of the Movement for Multi-party Democracy (MMD) party that has run Zambia since one-party rule ended in 1991, is expected to make a statement on Friday about the vote.
Sata supporters spilled into the streets in the capital Lusaka after the announcement, singing and chanting in celebration.
Youths fought running battles with riot police on Thursday in the towns of Ndola and Kitwe, 250km north of Lusaka, setting fire to vehicles and markets in the normally peaceful southern African country's mining heartland.
Hackers who hit the Election Commission's website overnight, posting false results showing Sata on course for a landslide, added to the confusion and tension of what was already a tight race between two old rivals.
Chinese companies have become major players in Zambia's economy, with total investments by the end of 2010 topping $2 billion, according to data from the Chinese embassy.
But Sata accused Chinese mining firms in the earlier stages of the campaign of creating slave labour conditions with scant regard for safety or the local culture.
Banda had strong backing in urban areas and the country's economic centre in the Copper Belt.
Analysts said younger voters also helped propel him to victory with youth using the ballot box to bring about change in a continent that has seen the long-standing rulers of Egypt and Tunisia toppled by mass street protests.
Sata lost to Banda by just 35,000 votes, or 2 percent of the electorate, in a 2008 presidential run-off triggered by the death in office of Levy Mwanawasa.
 
Huyu Sata amenitia moyo; vyama vingine na vikongwe vya upinzani vikishindwa yawezekana ipo haja ya kuanzisha chama kingine...... I'm giddy!
 
WATANZANIA TUWAPE 20 MORE YRS WATANZANIA KUwaondoa CCM madarakani kwani bado CCM inajua vyema kuitumia udini na kuwagawanya watanznaia kwa ukabila na udini hii ndio style ya Mjomba wangu Gadafi aliwagawa Walibya kiukabila iko siku watanzania watakapoungana waiondoe CCM madarakani kama Mjomba Gadafi. Chadema kimeshindwa kuwashawishi Waislamu kukionga mkono na hii ndio tataizo kubwa hata hii isue ya kumvua Hijabu Mkuu wa Wilaya ya Igunga ni moja ya ajenda ya CCM kuwakasirisha Waislamu kuwaambia siku chadema ikishinda uchaguzi Waislamu hawataruhusiwa kwenda Mecca kuhiji.
 
R.BANDA MMD 808596 E.CHIPIMO NAREP 8290 H.HICHILEMA UPND 350473 T.KAUNDA UNIP 8264 N.MAGANDE NMP 5104 C.MILUPI ADD 9051 G.MIYANDA Heritage 3538 F.MTESA ZED 1845 E.NAWAKWI FDD 4982 M.SATA PF 994090 ..CONSTITUENCIES COUNTED . 116; Not final results,34constituencies to go, situation is unstable


Inaonekana hauko makini na siasa hadi sasa kwani kati ya vyama ulivyotaja hapo na kukiacha chama cha PF cha Michael Sata ambacho ndicho chama kikubwa cha upinzani na ndicho hadi sasa kinaongoza kwa 46.6% dhidi ya MMD cha Rupiah Banda 36.6%,, mkuuu kuwa makini hata pale unapowadanganya watu wanaojua ukweli!!!!
 
Huyu Sata amenitia moyo; vyama vingine na vikongwe vya upinzani vikishindwa yawezekana ipo haja ya kuanzisha chama kingine...... I'm giddy!

Mzee Mwanakijiji, hilo linawezekana iwapo tu viongozi hawatatoka ndani ya CCM na vyama vilivyopo
Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Mkuu.
Kujipa moyo ni jambo zuri.....lakini kwa katiba hii ya "wenye magamba" na polisi "wanaolinda " wanaotoa usalama kwa mikutano na maandamano ya wapinzani na tume" inayopewa" matokea ya kutangaza ushindi kwa mshindwa... safari ni ndefu.

Lakini ugoigoi wa vyama vya upinzani kushirikiana au kuwa na mkakati wa pamoja kwa hapa TZ...kuitoa CCM kwenye "kula" inataka msaada wa wale " wanaowasaidia" wabenghazi.
Hivi mbona CHADEMA na vyama vyengine vinavyojiita vya upinzani vipo kimya kuhusu" katiba mpya"?
2011 inaondoka...
At this late stage hakuna sababu ya kutaka vyama vya upinzani viungane. CUF wameshaungana na CCM. Na Mbatia amekubali kuwa kibaraka wa CCM. Utaungana na nani? Chama pekee cha upinzani ni Chadema.
 
Hivi sasa wazambia wanasherehekea ushindi wa Mh. Sata kutoka chama cha upinzani baada ya kutangazwa rasmi na tume ya uchaguzi.
Source: BBC
 
WATANZANIA TUWAPE 20 MORE YRS WATANZANIA KUwaondoa CCM madarakani kwani bado CCM inajua vyema kuitumia udini na kuwagawanya watanznaia kwa ukabila na udini hii ndio style ya Mjomba wangu Gadafi aliwagawa Walibya kiukabila iko siku watanzania watakapoungana waiondoe CCM madarakani kama Mjomba Gadafi. Chadema kimeshindwa kuwashawishi Waislamu kukionga mkono na hii ndio tataizo kubwa hata hii isue ya kumvua Hijabu Mkuu wa Wilaya ya Igunga ni moja ya ajenda ya CCM kuwakasirisha Waislamu kuwaambia siku chadema ikishinda uchaguzi Waislamu hawataruhusiwa kwenda Mecca kuhiji.

Mkuu,
Watz wa leo sio wakudanganywa na ccm kirahisi namna hiyo! Wameshaufahamu mustakabali wa nchi yao na wanafahamu kuwa ccm haiwezi kubadilisha hali mbaya ya uchumi zaidi ya kuzidi kuididimiza.
Tatizo letu sisi tuliopata bahati ya ufahamu kidogo tunawaona wenzetu kama hawajui chochote na wanadanganyika kirahisi sana. Ndio maana tumekuwa tukiwaita majina kama Wadanganyika nk! Hii sio sawa. Lazima tujiamini, tuwaamini wenzetu na tuaminiane kwa ujumla!
 
Watanzania tunahitaji change haijalishi matokeo ya hiyo change yanaweza kuwa positive au negative.

Tunataka change ya aina yoyote ili tuondoa mtazamo wa baadhi ya watu kuwa nchi hii ni ya watu fulani tu miaka nenda rudi. Change hii itawafanya wanaotaka madaraka katika hii nchi watambue kuwa wenye maamuzi ya namana gani utawale ni wananchi na si kikundi kidogo tu kama ilivyo leo.

Tunataka wananchi waheshimiwe muda wote wa miaka mitano siyo ilivyo sasahivi wananchi wanasikilizwa tu wakati wa uchaguzi.

Tunataka kujenga system tofauti na hii tuliyonayo ambayo mambo yanajiendea shagalabagala tu pasipo utaratibu. Kila mtu anafanya anavyotaka so long as anauhusiano na kikundi cha watawala.Nchi haina utii wa sheria na taratibu maana rushwa imekithiri kiasi kila mtu anafanya atakavyo kwa kuwa anajua atatoa rushwa mambo yakimharibikia. Tunashuhudia hata barabarani maderva ni vurugu tupu hakuna utaratibu kama wanayama mbugani.


Tunahitaji utawala utakaoweka mifumo na taasisi zitakazo heshimika pasipo kujali ni nani anaziongoza.

Tunahitaji kujenga nchi yenye kuheshimu sheria na taratibu kwanza kabla ya kufikiria maendeleo. Utawala utakaokabili rushwa kwa nguvu zake zote mpaka kuhakikisha imetoweka katika uso wa nchi hii. Wengi watasema haiwezekani lakini mimi nasema inawezekana so long as kuna nia hiyo.

Mungu tusamehe kwa yote tuliyokukosea na tunaomba tuanze upya kama taifa linalokuogopa wewe na kuwajali watu wake.
 
I applaud the man’s perseverance and courage. I can’f find words to describe his resovlve.
Ninachompendea Sata ni kwamba ana uzalendo. He has always questioned, ‘Kwanini Mchina apewe zabuni yakutengeneza maua ya Ikulu? Kwanini kila zabuni apewe mgeni na wazawa wabaki bila kitu?’ this is what Sata hated and so does Dr. Slaa. I admire both these men’s stand and devotion to see us prosper. Baada ya kumaliza harakati zetu za kumuweka madarakani Sata, tunakuja Tanzania kupigania chetu hadi kieleweke.

 
Niko huko kwaiyo naweza toa mchango wangu.
Zambia kuko kama Tanzania tu kuhusu wapinzani kugombana. Vyama vidogo vodogo vya upinzani vilikuwa vinamkejeli Michael Sata na PF yake. Ilikuwa kama walikuwa wametumwa na chama tawala.
Pili. Chadema inaweza pata ushindi hata kwa katiba iliyopo. Zambia kulikuwa na malalamiko ya miaka mingi kuhusu katiba lakin serikali iliziba masikio na mda mwingine kucheza dana dana.
Kinachotakiwa ni Chadema kuondelea na harakati za kuelimisha wananchi. Zambia kimeelewa kataka katiba tope, Tanzania pia. Dr. Slaa, usikate tamaa. Sata alishindwa mara 3, ya 4 amepata
 
Back
Top Bottom