Dalili za ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 waonyeshwa huko Zambia leo

Mkuu hii wengi wanaileta hii ya kuwa na vyama vingi katika uchaguzi kama sababu lakini ni uongo wa watu wasiofuatilia vizuri. Hii yetu ndio demokrasia ya kweli. Anayeshinda bila zengwe ndiye mshindi wa kweli na ndiye anakuwa chaguo la wengi.

Ni vizuri ieleweke kuwa ccm ni chama kama vyama vingine katika race hii na wananchi ndio wachaguaji. Kama wananchi wanahitaji ccm bado hata kama vingekuwa vyama viwili tu kingeshinda. Kuna ushahidi wa wazi ambao unaonyesha kuwa viliwahi kushiriki vyama vichache na ccm ikashinda na kuna majimbo viliwahi kushiriki vyama zaidi ya vitatu na ccm ikabwagwa chini. Hivyo basi wananchi kama wataelewa haki yao na hawatakubali kuraghaiwa kwa vizawadi na ahadi hewa za maendeleo yasiyokuwepo na pale katiba itakaporekebishwa ili kuiondoa hii tume ya wizi wa kura inayochaguliwa na mwenyekiti wa ccm, hapo ndipo kutakuwa na mwisho wa ccm. Bila hivyo hata kama ukiweka vyama viwili tu, itashinda ccm.

Fuatilia tangu Tanzania ianze mfumo wa vyama vingi vyama vya upinzani vinapata kura ngapi na CCM inapata kura ngapi. Utakataa ukweli tatizo la kuindoa CCM madarakani ni gumu kutokana na vyama vya upinzani kutokuwa na ushirikiano, mwelekeo wao upo kwenye RUZUKU zaidi,huwezi kupingana na serikali ambayo unaitegemea kukupa pesa ili ujiendeshe. Vyama vya upinzani vimeigeiuza ruzuku kama ni haki yao kimsingi, matokeo CCM ndiyo inayonufaika zaidi na ruzuku. Wapinzani wameng`ang`ania kuilaumu TUME YA UCHAGUZI ni mara ngapi wamashauriwa kususia uchaguzi ili kusishinikiza serikali kuunda tume huru? Ili CCM iondoke madarakani wapinzani wanapaswa kuwa kitu kimoja na RUZUKU lazima iondolewe.
Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Fuatilia tangu Tanzania ianze mfumo wa vyama vingi vyama vya upinzani vinapata kura ngapi na CCM inapata kura ngapi. Utakataa ukweli tatizo la kuindoa CCM madarakani ni gumu kutokana na vyama vya upinzani kutokuwa na ushirikiano, mwelekeo wao upo kwenye RUZUKU zaidi,huwezi kupingana na serikali ambayo unaitegemea kukupa pesa ili ujiendeshe. Vyama vya upinzani vimeigeiuza ruzuku kama ni haki yao kimsingi, matokeo CCM ndiyo inayonufaika zaidi na ruzuku. Wapinzani wameng`ang`ania kuilaumu TUME YA UCHAGUZI ni mara ngapi wamashauriwa kususia uchaguzi ili kusishinikiza serikali kuunda tume huru? Ili CCM iondoke madarakani wapinzani wanapaswa kuwa kitu kimoja na RUZUKU lazima iondolewe.
Chama
Gongo la Mboto DSM

2015 hata kama tume itabaki kama ilivyo hakuna nafasi tena ya kurudisha ccm madarakana. Hata viongozi wa tume wanalijua hilo na hawatakuwa tayari kuokea kibano toka upinzani. Wazee wa
Tume si wenye akili kuliko watanzania wote na hakuna mbinu ya kuiba kura ambayo wapinzani hawaijui. Naamini 2015 patachimbika maana dalili za Igunga zinztoa ishara tosha kuwa watu hawatavumilia tena vitendo vya kuibeba ccm na watakaofanya hivyo wajiandae kwa visago zaidi ya FATIMA.
 
Ili tufike huko salama nadhani tunahitaji katiba mpya kwanza, vinginevyo ccm wataleta mambo ya akina kibaki wa kenya ya kung'ang'ania madarakani.
 

by MAGAMBA MATATU
Ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 umeonyeshwa leo huko Zambia kwani hadi hivi sasa matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo huko zambia wa urais unaonysha kuwa chama tawala cha MMD(Movement Multipart Democracy) kilicho chini ya Rupiah Banda kiko nyuma kwa kura kwa wastani wa asilimia 16% dhidi ya 78% ya chama cha upinzani cha PF(Patriotic Front) kilicho chini ya Michael Sata, hii ni dhahili kuwa wananchi wamechoshwa kwa kudanganywa na vyama vilivyoko madarakani,, kwa matokeo zaidi fuatilia MUVI TV YA ZAMBIA,,

Hadi naondoka mitamboni matokeo yalikuwa kama ifuaatavyo kwa mikoa yao,

Michael Sata PF, chama cha upinzani Rupiah Banda MMD chama tawala sasa.
10271 2912

9642 2794

20768 3901

14730 4509

20391 3637

10271 2912

14224 3142

13241 2317

9875 1543

16748 4323

15743 2754

Muda huu niko job mwenye matokeo zaidi kutoka MUVI TV atujuze ila hiyo ni salamu kwa CCM kutoka Zambia mnamo mwaka 2015,
Watu wa Zambia wanasema one Zambia one nation, no one can own Zambia Forever si maneno yangu bali ni maneno ya wapiga kura waliokuwa wakiimba ndani ya MUVI TV leo huko zambia.​


Mbona raha wajipa mwenyewe.
Zambia ni Zambia na Bongo ni Bongo.
Ninauhakika mtoa thread hata Tunduma hajafika.
CDM tengeneza nyumba yako na usifananishe na ya mwenzio kwa kulala mlango wazi.
 
Ushindi wa CHADEMA kuingia ikulu 2015 umeonyeshwa leo huko Zambia kwani hadi hivi sasa matokeo ya uchaguzi uliofanyika leo huko zambia wa urais unaonysha kuwa chama tawala cha MMD(Movement Multipart Democracy) kilicho chini ya Rupiah Banda kiko nyuma kwa kura kwa wastani wa asilimia 16% dhidi ya 78% ya chama cha upinzani cha PF(Patriotic Front) kilicho chini ya Michael Sata, hii ni dhahili kuwa wananchi wamechoshwa kwa kudanganywa na vyama vilivyoko madarakani,, kwa matokeo zaidi fuatilia MUVI TV YA ZAMBIA,,

Hadi naondoka mitamboni matokeo yalikuwa kama ifuaatavyo kwa mikoa yao,

Michael Sata PF, chama cha upinzani Rupiah Banda MMD chama tawala sasa.
10271 2912

9642 2794

20768 3901

14730 4509

20391 3637

10271 2912

14224 3142

13241 2317

9875 1543

16748 4323

15743 2754

Muda huu niko job mwenye matokeo zaidi kutoka MUVI TV atujuze ila hiyo ni salamu kwa CCM kutoka Zambia mnamo mwaka 2015,
Watu wa Zambia wanasema one Zambia one nation, no one can own Zambia Forever si maneno yangu bali ni maneno ya wapiga kura waliokuwa wakiimba ndani ya MUVI TV leo huko zambia.

sasa chadema inahusikaje huko?? jipange.....tz tunachakachuliwa tu na wadanganyika tunashangaa tu
 
2015 hata kama tume itabaki kama ilivyo hakuna nafasi tena ya kurudisha ccm madarakana. Hata viongozi wa tume wanalijua hilo na hawatakuwa tayari kuokea kibano toka upinzani. Wazee wa
Tume si wenye akili kuliko watanzania wote na hakuna mbinu ya kuiba kura ambayo wapinzani hawaijui. Naamini 2015 patachimbika maana dalili za Igunga zinztoa ishara tosha kuwa watu hawatavumilia tena vitendo vya kuibeba ccm na watakaofanya hivyo wajiandae kwa visago zaidi ya FATIMA.

upo tayari kuandamana eeehhhh???
 
2015 hata kama tume itabaki kama ilivyo hakuna nafasi tena ya kurudisha ccm madarakana. Hata viongozi wa tume wanalijua hilo na hawatakuwa tayari kuokea kibano toka upinzani. Wazee wa
Tume si wenye akili kuliko watanzania wote na hakuna mbinu ya kuiba kura ambayo wapinzani hawaijui. Naamini 2015 patachimbika maana dalili za Igunga zinztoa ishara tosha kuwa watu hawatavumilia tena vitendo vya kuibeba ccm na watakaofanya hivyo wajiandae kwa visago zaidi ya FATIMA.

viongozi wako wana msimamo kama wewe?

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Fuatilia tangu Tanzania ianze mfumo wa vyama vingi vyama vya upinzani vinapata kura ngapi na CCM inapata kura ngapi. Utakataa ukweli tatizo la kuindoa CCM madarakani ni gumu kutokana na vyama vya upinzani kutokuwa na ushirikiano, mwelekeo wao upo kwenye RUZUKU zaidi,huwezi kupingana na serikali ambayo unaitegemea kukupa pesa ili ujiendeshe. Vyama vya upinzani vimeigeiuza ruzuku kama ni haki yao kimsingi, matokeo CCM ndiyo inayonufaika zaidi na ruzuku. Wapinzani wameng`ang`ania kuilaumu TUME YA UCHAGUZI ni mara ngapi wamashauriwa kususia uchaguzi ili kusishinikiza serikali kuunda tume huru? Ili CCM iondoke madarakani wapinzani wanapaswa kuwa kitu kimoja na RUZUKU lazima iondolewe.
Chama
Gongo la Mboto DSM
Ndugu yangu 'chama' ebu tumia akili kidogo, hizo fedha zinazotolewa na serikali ni za wananchi wa Tanzania sio takrima ni haki ya msingi kwa sheria iliyo pitishwa na bunge!!!!!!!!! Bunge sio chama cha CCM ni muhimili wa dola la Tanzania, tukitaka inabidi tuweke kwenye katiba mpya kuwa vyama vya siasa visipewe ruzuku!!!!!!!!! Vinginevyo chama cha siasa kikiwa na wabunge ni haki yao kupewa ruzuku, labda matumizi yawe mabaya maana hata CCM inapewa ruzuku na ni ruling party!!!!!!!! Katiba yetu ndio dira ya utawala na maisha ya nchi yetu ya Tanzania!!!!!!!!!
 
hatuna uhakika inawezekana hata uchaguzi uliopita CDM ilifikisha kura za urais - who knows? inabaki siri mioyoni mwetu.
 
Wakati umefika wa wananchi kuwateka viongozi wa upinzani wanaotumiwa wakati wa chaguzi na kuwaficha mahali hadi kumalizika upigaji kur. Hawa wanatumiwa sana kuvuruga mageuzi...ni wasaliti...hata igunga wapo na wamelipwa miopesa
 
]Hiyo ni mikoa zaidi ya kumi [/B]na ananing'inia vile atazitoa wapi kira nyingi hivyo anyaway sijui zambia wana mikoa mingapi ila naona kama kaachwa mbali sana. Ndiyo maana alisema washabiki wake wasishangilie mpaka kipenga cha mwisho

Masahihisho: Hayo sio matokeo ya mikoa kumi bali ni yalikuwa ni ya majimbo 10 katika ya majimbo 150 ya Zambia.

Ni mapema mno kumfahamu mshindi hasa ukizingatia maeneo mengi yaliyotangaza ni ngome za upinzani, katika majimbo rasmi 33 kati ya 150 yaliyotangazwa rasmi na tume, Sata anaongoza kwa kura 265,843 dhidi ya kura 192,966 za Rais Banda, ..

http://www.zambianwatchdog.com/2011/09/22/sata-still-leading-in-33-constituencies-counted/
 
Haya tuendelee kuishi kwa matumaini. Lakini zambia hakuna aliyekwidwa gauni wala shati. Ustaarabu mtupu

Watu kama wewe mnaendelea kunidhihirishia kuwa tatizo nchi hii ni wapiga kura. Zambia kuna fujo zimetokea za kutosha tu, masanduku yalichomwa na magari kuchomwa pia, lakini pia si uthiobitisho kuwa ndo wapinzani washindwa au kuchukua!!!

Pole sana...
 
Tutawaheshimu sana MMD iwapo watakubali matokeo kama uamuzi wa wananchi na wasijaribu kuyachakachua. Vile vile Michael Satta na PF yake ambao; kama ilivyokuwa uchaguzi uliopita, wanaongoza kwa matokeo ya awali kutoka mijini, yakijumuishwa ya mashambani na MMD ikawageuzia kibao tunaomba waheshimu uamuzi wa Wazambia.
 
Masahihisho: Hayo sio matokeo ya mikoa kumi bali ni yalikuwa ni ya majimbo 10 katika ya majimbo 150 ya Zambia.

Ni mapema mno kumfahamu mshindi hasa ukizingatia maeneo mengi yaliyotangaza ni ngome za upinzani, katika majimbo rasmi 33 kati ya 150 yaliyotangazwa rasmi na tume, Sata anaongoza kwa kura 265,843 dhidi ya kura 192,966 za Rais Banda, ..

Sata still leading in 33 constituencies counted | Zambian Watchdog


Mkuu hadi sasa ni majimbo 133 yametangazwa matokeo kati ya 150 na PF wanaongoza kwa 42% dhidi ya 35% za MMD na hadi muda huu tume ya uchaguzi ya Zambia EZC imekataza vyombo vya habari visitangaze matokeo kitu ambacho sijakielewa kuwa wana maana gani au ndoo mbinu kama za magamba ili wachakachue kwa haya majimbo 17 yaliyobaki, vyombo viwili tuu vya habari ndoo hadi sasa vinatoa matokeo ni VOA na MUVI TV hata sijaona hata TBC inatoa matokeo yoyote wakati kipindi cha uchaguzi wa Marekani na umbali wote ule walisafiri na kutoa habari kamili, pia TBC walisafiri hadi Kenya na kutoa matangazo yao au serikali ya magamba iliwakataza baada ya huyu mkurugenzi TIDO MHANDO KUFUKUZWA, ama kweli TIDO tunakukumbuka sana kwani huyu mkurugenzi aliyepo sasa ni tui la nazi tuuu!!!!
 
Back
Top Bottom