Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
Yaani from the numerous threads , I have read thus far.Hizi ndoa za siku hizi, seems to be more work than fun kwa wanawake. Maana wewe, uwe on guard na
1. kijihadhari na nyumba ndogo
2. Uwe makini na house girl
3. Marafiki wa mume wako
4. Kuombwa mapenzi kinyume cha maumbile
5. Kissing mama mkwe's a**
6....................................
Anyways ahsante kwa kutujuza Marianne
You are very clever!! Yaani ukiendekeza hayo, na si kwa wanawake tu, hata wanaume, maisha kwa ujumla yatakuwa hayana raha tena. Utaandamwa na msongo wa mawazo usiokuwa na sababu!