Dalili za mume anayetembea na "house girl"

Ba mdogo wangu mchezo wake mkubwa ni pamoja na kutembea na mabaa maidi na mahausi geli wake!
 
Mke ukiona haya jua kuna kitu hakijakaa sawa kati ya baba na dada anayewasaidia kazi za ndani...


DALILI YA KWANZA
Ishara ya kwanza ya mwanaume ambaye tayari yupo ndani ya uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kazi ni kupenda sababu za kumwamsha mfanyakazi huyo hata pale anaporudi na kumkuta amelala.

Utakuta baba amerudi nyumbani usiku wa saa sita, mkewe anamfungulia mlango, akishaingia na kukaa, anaanza:
“Dada amelala?”
Mke: “Ndiyo.”
Baba: “Mwamshe nimpe kazi f’lani.”
Mke unaweza ukamtetea sana msichana, lakini mumeo akasimamia msimamo ule ule.

Sasa utakapomwamsha, akifika, mumeo utamuona anavyojipinduapindua.
“Hii mboga umepika wewe dada?”
“Hapana, mama.”

“Ooo. Ulifua zile soksi zangu?”
“Ndiyo baba.”
“Sawa kalale.”
Mke unajiuliza, sasa kumwamsha kote kule ndiyo maswali yenyewe hayo tu.
Sasa tuendelee…

Katika hali kama hii, wewe mke jaribu kuwa makini sana. Hakikisha hutoi nafasi kwa mumeo kumfikia au kuwasiliana na hausigeli kwa kitu chochote. Kama ni maji ya kuoga tenga wewe, vitu ambavyo vinawezekana kufanywa na wewe vitimize ili kuukata uhusiano hata kama utakuwa hujathibitisha kama upo!

Tatizo kubwa ni kwamba, wanawake wengi siku hizi wanawafanya wasichana wa kazi ndiyo wenye nyumba, wao wasaidizi, wakati zamani, hausigeli ndiye msaidizi wa kazi za ndani, mambo mengine yote ni kwa akina mama wenyewe.

DALILI YA PILI
Ishara hii inatakiwa mke mwenye utambuzi sana, yaani awe na ufahamu wa hali ya juu vinginevyo anaweza kukurupuka na kumbwatukia mumewe kumbe hana habari na msichana wa kazi.

Ila kwa wale ambao wana uhusiano sasa, ukimwona mumeo ana tabia ya kuchelewa kulala eti yupo sebuleni, mke changamka, hapo pana jambo.
Mume anayefanya hivyo hutoa nafasi kwa mkewe kwenda kulala na yeye kunyatia chumbani kwa hausigeli kuduu naye.

Sasa endapo mke utakwenda sebuleni na kumkuta mumeo anajifanya kukodolea macho tivii ili ujue anaangalia vipindi, jaribu na wewe kuchunguza aina ya kipindi, ukikuta ni taarifa ya habari ya Sky News,CCTV, CNN, BBC au Al Jazeera, ujue huyo mwongo tu, hana lolote.
Lakini usiishie hapo, jifanye na wewe unakaa pembeni yake kuangalia taarifa hiyo ya habari. Utamuona yeye anasimama na kusema…

“Tukalale mke wangu.”
Kama wakati wa kwenda kulala wewe utatangulia, yeye lazima aingie chooni kwanza, anajifanya anajisaidia haja ndogo lakini anachotaka ni wewe uingie chumbani, yeye aingie kwa hausigeli ili ampige busu japo moja tu, maana anajua dili limeshatibuka.
Lakini dalili hii ni kwa mume ambaye hapo nyuma hakuwa na tabia ya kukaa sebuleni peke yake na kuangalia tivii.

Kwa upande wa hausigeli aliye katika uhusiano na baba mwenye nyumba, huwa hivi…
Wakati baba amekaa sebuleni usiku akiangalia tivii ‘kiuongo’, yeye anaosha vyombo nje, tena si ajabu amevitawanya kiasi kwamba, kama ni kumaliza ataweza kwenda hasi usiku wa manane.

Na kila baada ya dakika tano, msichana huyo ataingia ndani na kupita mbele ya baba. Lengo lake ni kusoma mazingira kama mama mwenye nyumba amelala.

Kwa vile wao si waanzaji (kama ilivyo tabia ya mwanamke), basi unaweza kumwona anashikashika vitu vya sebuleni, kama vile kuweka sawa vitambaa vya makochi (japo ni usiku), kufuta meza, kabati au wakati mwingine kupanga CD za muziki au filamu ambazo zipo kwenye shelfu lake. Mambo hayo anayafanya huku vyombo vikimsubiri nje!

Hapo anachotaka, baba amuone kirahisi na kuanza kumtekenya-tekenya, kumshika-shika hatimaye ‘kumalizana’.
Utashangaa, ukifuatilia sana, utakuta hausigeli akishamalizana na mume, vyombo anaviingiza ndani na kuvimalizia kesho yake asubuhi.
Kwa maana hiyo pia, wake za watu wawe macho na wasichana wa kazi wanaoshindwa kumaliza kuosha vyombo usiku.

MAENEO YA UFUSKA
Kabla sijaendelea na dalili ya tatu, ni vyema niweke wazi maeneo ambayo ma-baba wenye nyumba ndiyo hupenda kutumia kufanya mapenzi na wasichana wa kazi.
Ni vigumu sana kukuta wawili hao wanamalizana sebuleni (ingawa inawezekana sana) kwani ni eneo hatari kuliko yote ndani ya nyumba.

Uchunguzi wa kina wa kimazingira umegundua kuwa, kati ya maeneo hatari kwa fumanizi ndani ya nyumba ni sebuleni.
Wengi waliowahi kufumaniwa, mfano mume kula uroda na shemeji yake (mdogo wa mkewe) au binti kuliwa uroda na hausiboi, ilikuwa sebuleni.

Aidha, sebuleni ndiyo mahali panapofikwa kwa mara ya kwanza na watu waliolala ndani ya nyumba kuliko sehemu nyingine yoyote.
Kwa hiyo, mababa wengi sasa hukwepa sebule na kwenda chumbani kwa msichana, stoo, bafuni, jikoni kama liko pembeni na uani, hasa maeneo yenye vificho kama nyuma ya karo au kama kuna sehemu kumesimamishwa vitu chakavu.

Chooni si sana kwa sababu ni eneo linalofikwa na watu kila wakati karibu usiku kucha.
Sasa hatari ipo hivi, mke asiyejua haya, kama mumewe ataendelea kimapenzi na hausigeli, hufikia wakati uhama nyumba. Namaanisha kwamba, hufika mahali wakitaka kukutana kimwili, wanakwenda gesti.

Gesti zao mara nyingi ni nyuma ya nyumba au mtaa wa pili, huwa hawaendi mbali sana kwa kuogopa muda wa msichana kufanya kazi za ndani.


to be continued.....

Thnx to Kungwi Globo.
Ahsante saana kwa ushauri wako kwa wanaume na wanawake wenye tamaa za mbwa. Watu wanatakiwa wajiheshimu kwenye majumba yao, kuanzia mama mwenye nyumba, baba, watoto hadi watumishi. Njia rahisi ya kuweka mji wako vizuri ni kuupeleka mbele za Mungu, yeye ndiye mlinzi hodari kabisa. Kila wakati wewe na mkeo peleka nyumba yenu mbele za Mungu kwa maombi, maana mji ni mwanzo wa kulijenga taifa. Mungu asipolinda nyumba yako hata ukikesha unafanya kazi bure. Ubarikiwe mleta mada!!!!!!!!!
 
DALILI YA TATU (SI KWA HAOUSEGIRL TU, KWA UJUMLA NI DALILI ZA MWANAUME ANAYETOKA NJE YA NDOA YAKE)
Mwanaume utamuona ana-pretend kuonya upendo saaana kwa mkewe kuliko siku zote, tena atajifanya kuleta zawadi mbalimbali ambazo si kawaida yake, na kama ana uwezo hata gari anaweza kukununulia au zawadi yoyote ambayo wewe kama mkewe utaona si kawaida, na kama alikuwa mkali anapunguza, anajichekesha chekesha ili mradi usigumndue kinachoendelea!!!! Hii nimwshaona live kwa mama mmoja ambaye alikuwa ana ugomvi almost kila siku na mumewe. Ghafla mume akabadilika, akawa anampenda mkewe ukiwaona hadi raha!! asemacho anapewa, zawadi za hapa na pale ndo usiseme, kumbe anapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa!!!!
 
Mke ukiona haya jua kuna kitu hakijakaa sawa kati ya baba na dada anayewasaidia kazi za ndani...


DALILI YA KWANZA
Ishara ya kwanza ya mwanaume ambaye tayari yupo ndani ya uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kazi ni kupenda sababu za kumwamsha mfanyakazi huyo hata pale anaporudi na kumkuta amelala.

Utakuta baba amerudi nyumbani usiku wa saa sita, mkewe anamfungulia mlango, akishaingia na kukaa, anaanza:
“Dada amelala?”
Mke: “Ndiyo.”
Baba: “Mwamshe nimpe kazi f’lani.”
Mke unaweza ukamtetea sana msichana, lakini mumeo akasimamia msimamo ule ule.

Sasa utakapomwamsha, akifika, mumeo utamuona anavyojipinduapindua.
“Hii mboga umepika wewe dada?”
“Hapana, mama.”

“Ooo. Ulifua zile soksi zangu?”
“Ndiyo baba.”
“Sawa kalale.”
Mke unajiuliza, sasa kumwamsha kote kule ndiyo maswali yenyewe hayo tu.
Sasa tuendelee…

Katika hali kama hii, wewe mke jaribu kuwa makini sana. Hakikisha hutoi nafasi kwa mumeo kumfikia au kuwasiliana na hausigeli kwa kitu chochote. Kama ni maji ya kuoga tenga wewe, vitu ambavyo vinawezekana kufanywa na wewe vitimize ili kuukata uhusiano hata kama utakuwa hujathibitisha kama upo!

Tatizo kubwa ni kwamba, wanawake wengi siku hizi wanawafanya wasichana wa kazi ndiyo wenye nyumba, wao wasaidizi, wakati zamani, hausigeli ndiye msaidizi wa kazi za ndani, mambo mengine yote ni kwa akina mama wenyewe.

DALILI YA PILI
Ishara hii inatakiwa mke mwenye utambuzi sana, yaani awe na ufahamu wa hali ya juu vinginevyo anaweza kukurupuka na kumbwatukia mumewe kumbe hana habari na msichana wa kazi.

Ila kwa wale ambao wana uhusiano sasa, ukimwona mumeo ana tabia ya kuchelewa kulala eti yupo sebuleni, mke changamka, hapo pana jambo.
Mume anayefanya hivyo hutoa nafasi kwa mkewe kwenda kulala na yeye kunyatia chumbani kwa hausigeli kuduu naye.

Sasa endapo mke utakwenda sebuleni na kumkuta mumeo anajifanya kukodolea macho tivii ili ujue anaangalia vipindi, jaribu na wewe kuchunguza aina ya kipindi, ukikuta ni taarifa ya habari ya Sky News,CCTV, CNN, BBC au Al Jazeera, ujue huyo mwongo tu, hana lolote.
Lakini usiishie hapo, jifanye na wewe unakaa pembeni yake kuangalia taarifa hiyo ya habari. Utamuona yeye anasimama na kusema…

“Tukalale mke wangu.”
Kama wakati wa kwenda kulala wewe utatangulia, yeye lazima aingie chooni kwanza, anajifanya anajisaidia haja ndogo lakini anachotaka ni wewe uingie chumbani, yeye aingie kwa hausigeli ili ampige busu japo moja tu, maana anajua dili limeshatibuka.
Lakini dalili hii ni kwa mume ambaye hapo nyuma hakuwa na tabia ya kukaa sebuleni peke yake na kuangalia tivii.

Kwa upande wa hausigeli aliye katika uhusiano na baba mwenye nyumba, huwa hivi…
Wakati baba amekaa sebuleni usiku akiangalia tivii ‘kiuongo’, yeye anaosha vyombo nje, tena si ajabu amevitawanya kiasi kwamba, kama ni kumaliza ataweza kwenda hasi usiku wa manane.

Na kila baada ya dakika tano, msichana huyo ataingia ndani na kupita mbele ya baba. Lengo lake ni kusoma mazingira kama mama mwenye nyumba amelala.

Kwa vile wao si waanzaji (kama ilivyo tabia ya mwanamke), basi unaweza kumwona anashikashika vitu vya sebuleni, kama vile kuweka sawa vitambaa vya makochi (japo ni usiku), kufuta meza, kabati au wakati mwingine kupanga CD za muziki au filamu ambazo zipo kwenye shelfu lake. Mambo hayo anayafanya huku vyombo vikimsubiri nje!

Hapo anachotaka, baba amuone kirahisi na kuanza kumtekenya-tekenya, kumshika-shika hatimaye ‘kumalizana’.
Utashangaa, ukifuatilia sana, utakuta hausigeli akishamalizana na mume, vyombo anaviingiza ndani na kuvimalizia kesho yake asubuhi.
Kwa maana hiyo pia, wake za watu wawe macho na wasichana wa kazi wanaoshindwa kumaliza kuosha vyombo usiku.

MAENEO YA UFUSKA
Kabla sijaendelea na dalili ya tatu, ni vyema niweke wazi maeneo ambayo ma-baba wenye nyumba ndiyo hupenda kutumia kufanya mapenzi na wasichana wa kazi.
Ni vigumu sana kukuta wawili hao wanamalizana sebuleni (ingawa inawezekana sana) kwani ni eneo hatari kuliko yote ndani ya nyumba.

Uchunguzi wa kina wa kimazingira umegundua kuwa, kati ya maeneo hatari kwa fumanizi ndani ya nyumba ni sebuleni.
Wengi waliowahi kufumaniwa, mfano mume kula uroda na shemeji yake (mdogo wa mkewe) au binti kuliwa uroda na hausiboi, ilikuwa sebuleni.

Aidha, sebuleni ndiyo mahali panapofikwa kwa mara ya kwanza na watu waliolala ndani ya nyumba kuliko sehemu nyingine yoyote.
Kwa hiyo, mababa wengi sasa hukwepa sebule na kwenda chumbani kwa msichana, stoo, bafuni, jikoni kama liko pembeni na uani, hasa maeneo yenye vificho kama nyuma ya karo au kama kuna sehemu kumesimamishwa vitu chakavu.

Chooni si sana kwa sababu ni eneo linalofikwa na watu kila wakati karibu usiku kucha.
Sasa hatari ipo hivi, mke asiyejua haya, kama mumewe ataendelea kimapenzi na hausigeli, hufikia wakati uhama nyumba. Namaanisha kwamba, hufika mahali wakitaka kukutana kimwili, wanakwenda gesti.

Gesti zao mara nyingi ni nyuma ya nyumba au mtaa wa pili, huwa hawaendi mbali sana kwa kuogopa muda wa msichana kufanya kazi za ndani.


to be continued.....

Thnx to Kungwi Globo.
Boara hata ungeandika sababu za mume kufikia hatua ya kumnyatia house girl!!mambo yote hayo umeyajuaje??kama hujapitia huko?wewe inaonekana unaweza kuwa hata mwizi wa pesa maana unambinu kama Osama!
 
mim sijambo hofu kwako uliyenitelekeza,
yep,sisi no housegirl,
ni houseboy tu
Mi mzima,si tilielewana tutasaidiana kazi ? hili la hausiboi limetoka wapi ? kama hivo inabidi hausigeli nae awepo ili kunipashia chakula na kuanda ustaarabu wa kuoga nikichelewa kurudi lol! na siku moja moja kunipa kampani kuangalia TV ukilala mapema sawa ?
 
Mi mzima,si tilielewana tutasaidiana kazi ? hili la hausiboi limetoka wapi ? kama hivo inabidi hausigeli nae awepo ili kunipashia chakula na kuanda ustaarabu wa kuoga nikichelewa kurudi lol! na siku moja moja kunipa kampani kuangalia TV ukilala mapema sawa ?

yaani mara hii umeshasahau kuwa tulisema tusiruhusu kabisa housegirl ktk nyumba yetu?
mi naomba dear tusibadili huo uamuzi,sitaki housegirl,
hapo red naona ka unanitusi,hayo yote mbona nakufanyia au kuna siku nililalamika?
ni kweli uliniahidi kunisaidia kazi lkn siku hizi hunisaidii uko busy sana na rafiki zako,
ucjal nitaenda mwenyewe kijijin kwetu kutafuta kijana mtiifu aje anisaidie kaz,

najua umeshakubali,si unajua kitu kimojawapo nilikupendea wewe sio mbishi.
 
duuuhhh
Pressure sitaki
sijawahi kumfuatilia mwanume yeyote
sijawahi kumchunguza mwanaume yeyeto
kweli naona unajipa kazi ya ziada ambayo
mwisho wa siku unaumwa na kishwa sababu
hukupata majibu ambayo unayategemea.
au utapatwa na pressure kwa kupata jibu

balaa sitaki siku yakiiva yatajitokeza
yenyewe hata miaka 25 baadaye ( Arnold Schwarzenegger)

True afrodenzi, 'it's just a matter of time' nisingependa kuwa na mtu asiyeniamini wala siwezi pata muda wa kufuatilia mtu mzima.
 
yaani mara hii umeshasahau kuwa tulisema tusiruhusu kabisa housegirl ktk nyumba yetu?
mi naomba dear tusibadili huo uamuzi,sitaki housegirl,
hapo red naona ka unanitusi,hayo yote mbona nakufanyia au kuna siku nililalamika?
ni kweli uliniahidi kunisaidia kazi lkn siku hizi hunisaidii uko busy sana na rafiki zako,
ucjal nitaenda mwenyewe kijijin kwetu kutafuta kijana mtiifu aje anisaidie kaz,

najua umeshakubali,si unajua kitu kimojawapo nilikupendea wewe sio mbishi.
Naona umepania kuleta hausiboi sasa nakubali umlete nami namleta kuna hausigeli kutoka Singida mtaa wa pili naona atatufaa.
 
Mi naombeni part 2 ya hii muvi,,

"Dalili ya mke anayetembea na houseboy"
 
Hivi huyo aliyeandika hayo yamemkuta au nae yumo? anaonesha ni mtaalam wa haya masuala.
 
Wrong strategy. Dawa ya mchawi mpe mtoto alee mwenyewe. Na dawa ya mme/ke mkware mkabidhi housegirl/boy na usipoteze muda kuwafuatilia. Kumbuka unavyozidi kubana ndio hamu ya mhusika ya kutafuta upenyo wa kutenda inazidi.
 
Yaani from the numerous threads , I have read thus far.Hizi ndoa za siku hizi, seems to be more work than fun kwa wanawake. Maana wewe, uwe on guard na
1. kijihadhari na nyumba ndogo
2. Uwe makini na house girl
3. Marafiki wa mume wako
4. Kuombwa mapenzi kinyume cha maumbile
5. Kissing mama mkwe's a**
6....................................

Anyways ahsante kwa kutujuza Marianne

olewa na mzungu mwaya,wanacheat ila sio kama waafrica,waafrica kuwa na nyumba ndogo ni kama utamaduni lol,eti ndio uanaume?!
 
Part two of the story:

Mume kama ana uhusiano wa kimapenzi na msichana wa kazi, ikitokea mke amesafiri ni nafasi kubwa sana kwao kujiachia.

Ni katika kipindi hicho, hausigeli ataweza kuingizwa hadi chumbani na kulala. Tena wengine hujiachia vibaya, kwani hata akiamka asubuhi anaweza kuacha khanga yake ikiwa imeandikwa; Paka Akitoka Panya Hutawala.

Sasa mke utaijuaje tabia hii? Ni rahisi sana, ukiwa safarini utashangaa ukimpigia simu mumeo saa kumi na mbili jioni na kumuuliza aliko atakujibu nyumbani wakati kawaida yake hurudi saa nne mpaka tano usiku.

Asubuhi, kama kawaida yake kwenda kazini ni saa moja utashangaa kumsikia mpaka saa mbili kasoro hajaondoka na sababu anazokupa hazina maana.
Wakati mwingine pia, ukimpigia simu usiku atachelewa kupokea au akipokea maongezi yake yanaashiria kutaka mmalize haraka. Ni kwa sababu yupo na msichana wa kazi pembeni.

Mapenzi ya aina hii yakifikia hapa, mke ndani ya nyumba anakuwa anaishi katika hatari kubwa ya talaka au ugomvi wa mara kwa mara. Na kama msichana huyo wa kazi amejaaliwa uzuri, hakika ndoa hupinduka na yeye kuchukua nafasi.

Wapo wanawake kibao mitaani ambao ndoa zao zilipinduliwa na wasichana wa kazi. Hufika mahali akitaka kwenda kuwaona watoto anakuwa mwizi, anafikia nyumba ya jirani na kuwaita.
Nakupa mfano mmoja; huu ulitokea wilayani Korogwe, Tanga. Dada mmoja (jina ninalo) aliolewa na kubahatika kuzaa watoto wawili wa kiume.

Lakini alichokosea ndani ya nyumba yake, alimwachia msichana wa kazi kuendesha kila kitu. Mume akirudi anakumbana na huduma kutoka kwa dada, asubuhi akitaka kwenda kazini anakumbana na huduma za hausigeli, mwishowe wakajenga uhusiano wa kimapenzi.

Imekwenda, mke hajui, ikafika mahali mume akamrudisha mke kwao kwa kisa kidogo tu, alimjibu jeuri. Akiwa nyumbani kwao, mke akapata habari kwamba, mumewe amefunga ndoa na msichana wa kazi tena akiwa mjamzito.

Ikawa mke huyo akienda kuwaona watoto wake anakaribishwa na msichana wake wa kazi, anamuandalia chumba cha kulala ambacho awali alikuwa akilala yeye. Mama akawa hana chake.
Haya yote ni madhara ya kuwaachia wasichana wa kazi wafanye kila kitu kwa waume ndani ya nyumba. Ni hatari kuliko inavyofikiriwa.
 
Back
Top Bottom