Thinker96
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 311
- 66
wakuu habarini,huku mie niliko mwanza naona tangu mchana kuna hali ambayo tangu kuzaliwa kwangu nahis cjapata kuona maana mchana mishale ya saa7 nimeona jua likiwa limezungukwa na kitu kama upinde wa mvua ambao pia co wa kawaida ule tuliozoea wengi wetu...tafadhali mliopo sehemu nyingine tupasheni habari.