Dalili Kuu za Mlevi

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,145
13,216
Hizi ndizo dalili kuu za mtu anayeanza kukata network baada ya kuondoa na safari kadhaa za ulabu


  1. Alikua anaongea kawaida tu lakini taratibu sauti inapanda
  2. alikua anaongea kiswahili ataanza kuchanyanya na kidhungu
  3. glasi alikua anaweka taratibu na sasa kila anapoweka lazima kuwe na mshindo wa meza kwa sababu anaiona iko karibu kuliko mwanzo
  4. kama ni mwanaume aliingia akiona wahudumu wabaya utaanza anaanza kuwatamani
  5. ..........................ongeza
 
Karma in mean a CCM, kabla ya kulewa ataisifia CCM bila mfano,.....akilewa to atalaumu seriakali ya CCM na kuchukia
 
Hizi ndizo dalili kuu za mtu anayeanza kukata network baada ya kuondoa na safari kadhaa za ulabu


  1. Alikua anaongea kawaida tu lakini taratibu sauti inapanda
  2. alikua anaongea kiswahili ataanza kuchanyanya na kidhungu
  3. glasi alikua anaweka taratibu na sasa kila anapoweka lazima kuwe na mshindo wa meza kwa sababu anaiona iko karibu kuliko mwanzo
  4. kama ni mwanaume aliingia akiona wahudumu wabaya utaanza anaanza kuwatamani
  5. ..........................ongeza
akitembea anaenda hatua mbili mbele, tatu nyuma......
 
Mi za kwangu ni kukaa kimya zaidi na zaidi na kuchana zile label za safari. nikiona hivyo najua tu sasa tayari
 
1- Atajiona yeye ni bingwa wa masumbwi uzito wa juu duniani na ana uwezo wa kumpiga mtu yyte......

2- Atajiona ana uwezo mkubwa wa kichawi kiasi kwamba anaweza kukojoa hapa hapo alipokaa na watu wasimuone

3- Atajiona ameshakuwa tajiri wa ghafla na kuanza kuwaagizia vinywaji watu ambao hata hafahamiani nao, utackia mpe na yule lofa, na yule bwege muongeze, hebu mpelekee na yule juha ambae anakaa na mwanamke mzuri lakini hana kitu halafu katuitie na mtu wa jikoni......Fanya haraka weweeeeeeeeeew.....hapo anasema kwa sauti ya juu sana.....

Ukiona dalili hizo ujue huyo netiweki imekata
 
Kama naangalia mpira, nikianza kuona mpira na duplicate yake (mipira miwili), kipa na wachezaji wengine na duplicate zao basi kimewaka, nasepa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom