KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!
ina maana kasindye ni mpare! mdhuti wakonchi omekua ya kesi tu....kama wote ni wapare
mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!
mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!
Dada KIM KARDASH Mungu hamfichi mnafki, hebu njoo hapa utueleze leo ni mwaka 2014?mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!
Kuwa na raia wa category hii kwenye nchi ni mzigo kwa Taifa, mtu ana Internet access na yupo ndani ya thread husika na still hajui kinachoendelea!! Ptuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!Wengine tuko mbali what happened?
Wengine tuko mbali what happened?
Ni zaidi ya Ujinga!!Ujinga huu!
mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!
Mkuu KIM KARDASH, mdharau mwiba guu huota tende, huo ndio usemi wa wahenga chambilecho! nasikia kimenuka huko Igunga kwani fisadi mwenzenu kaliwa kete mchana kweupee!!!!mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!
Yanawahusu watu wa karibu tuu,Wengine tuko mbali what happened?