Dalaly Kafumu amekalia kuti kavu Igunga

mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!
 
Kama jamii inaona haki imepokonywa si vibaya wakafight for their right lakini tuache kutafuta haki kwa kutumia majina ya watu majukwaani
 
mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!

Mpasuko!!!!!! unaconfuse na Magamba!!!!!
 
mnapoteza muda wa kufanya kazi za kuimarisha chama chenu na kushughulikia mpasuko unaokitafuna chama,hiyo kesi mpaka ije kusikilizwa si itakua ni 2014!
Mkuu KIM KARDASH, mdharau mwiba guu huota tende, huo ndio usemi wa wahenga chambilecho! nasikia kimenuka huko Igunga kwani fisadi mwenzenu kaliwa kete mchana kweupee!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom