Kibwebwe
JF-Expert Member
- Jun 26, 2012
- 820
- 206
Wakati watu wanagombania kupanda kwenye daladala za mbagala kama ilivyo kawaida, babu mmoja akawa ameingia kwa ulaini akapata siti,..mara konda anamuuliza babu' unalia nini sasa' babu akamwambia mjukuu wangu nina miaka miwili napanda daladala hizi sijawahi kupata siti, yaani naona kama bahati ...konda akacheka sana akamwambia babu inuka siti ya dereva hiyo.