Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Daladala iliyokuwa imebeba abiria maeneo ya mbezi beach (makonde) imechomwa moto na madereva wa bodaboda baada ya kumgonga mwenzao na kufariki hapohapo wakati dereva alipokuwa anajaribu kukwepa gari iliyokuwa ina'overtake' lori na kuzidi upande wake hivyo kulazimika kuzidi upande wa kushoto na kuigonga pikipiki hiyo. Dereva wa daladala amelikimbia na kuliacha gari ndipo madereva wa bodaboda kuamua kuichoma moto kwa hasira.
Source: clouds fm breaking news
Source: clouds fm breaking news