Daladala bongo (my true story)

aine mambo umeadimika siku hizi.
Mi sipendi daladala za muhimbili watu tunagombania mlangoni wengine wanapitisha vikapu madirishani ukiingia ndani siti zote zina vikapu inabidi usimame pamoja na kuchafuliwa nguo/viatu mlangoni.
Safi uporoto, nipo tu ila kwa tahadhari coz sipendi kueleweka tofauti na ninavyomaanisha.

Kwa ujumla siku hizi hakuna cha mwenge, mbagala au mbezi, kugombea daladala ni kila kona ya Dar, utakuta wengine wanapita hata kwa dereva!!! na wakati mwingine utakuta abiria wenyewe ni wachache sana ila ni mazoea tu
 
Safi uporoto, nipo tu ila kwa tahadhari coz sipendi kueleweka tofauti na ninavyomaanisha.Kwa ujumla siku hizi hakuna cha mwenge, mbagala au mbezi, kugombea daladala ni kila kona ya Dar, utakuta wengine wanapita hata kwa dereva!!! na wakati mwingine utakuta abiria wenyewe ni wachache sana ila ni mazoea tu
Jamani bado tu unayo moyoni ? pole haikuwa dhamira yangu kukukwaza, naomba tuwe marafiki wa keyboard.
 
masista duu wa mbagala kiboko, wanavaa mapensi ndan kwa shughuli ya kupitia dirishani.ni zaidi ya maninja
 
(Nyie ndio mnatuongezea folen sis tunaotumia public car. Utakuta familia ina watoto wa3 wote wana magar na yote yanatoka. Mnanikera. Mnatuongezea folen.)

Maneno kama haya huwa yanaongewa na wenye wivu tu.Maisha bila foleni yanawezekana hata kama watanzania wote tuwe na magari. Kinachotakiwa ni kitu kimoja tu, siku tukipata Serikali namaanisha Serikali,basi haitachukua miaka mingi nchi hii itakuwa tambalale.
 
wana jf last week nilikuwa natoka job na kusimama na sista du mmoja pale posta kituoni tukisubiri gari ya mbezi ya kimara, ilipokuja watu waligombea kinoma mie mwenyewe ilibidi nikae pembeni ili kunusuru afya, usalama na ustaarabu wangu. Lakini kutahamaki nilimuona yule sister du amepata siti tena ya dirishani, duh niliishiwa nguvu na kushangaa kuona aliwezaje kuingia pale mlangoni angali alionekana very soft and civilized. Ilibidi tu nitembee hadi akiba ili nizunguke na bus. Toka siku hiyo niko radhi hata nikope lakini nihakikishe anytime my car is working. Kweli ukitaka uone usumbufu wa daladala dar subiri siku uharibikiwe na gari.

huyo sista du atakuwa amesoma udsm. Tena alikua anakaa mabibo amezoea kugombania shato za kwenda kampasi
 
nenda mbagala asubuhi uone daladala za mwenge zinavyogombaniwa,watu wanakaa hadi kwenye carrier ya DCM...
 
Hizi chai maharage za kwetu Znz wala hakuna kusukumana wala kibiru cha kutoana roho, raha mstarehe.
 
wana jf last week nilikuwa natoka job na kusimama na sista du mmoja pale posta kituoni tukisubiri gari ya mbezi ya kimara, ilipokuja watu waligombea kinoma mie mwenyewe ilibidi nikae pembeni ili kunusuru afya, usalama na ustaarabu wangu. Lakini kutahamaki nilimuona yule sister du amepata siti tena ya dirishani, duh niliishiwa nguvu na kushangaa kuona aliwezaje kuingia pale mlangoni angali alionekana very soft and civilized. Ilibidi tu nitembee hadi akiba ili nizunguke na bus. Toka siku hiyo niko radhi hata nikope lakini nihakikishe anytime my car is working. Kweli ukitaka uone usumbufu wa daladala dar subiri siku uharibikiwe na gari.


my friend unahis kuwa na gari yako inasaidia kuondoa adha za barabarani
binafsi nina gari mbili moja inawekwa full tank kwa wiki lakini nikiifikiria adha ya kukaa kwenye folen
kwenye siti huku nalala wakatimwingine napigiwa honi ..mkuu siku ninayogusa gari ni siku najua job narudi usiku only ..nahisi uwe kama mimi ungezoea kwanza hizo adha hata siku gari ikinock injini wakati ukitafuta million ya injini unakuwa upati shida
 
kweli imekua ni kawaida ya watu wa darisalama kugombea daladala. kule mabibo asubuhi unakuta daladala tatu zimejipanga zina ruti moja, lakini zinavyogombewa utafikiri mpo abiria 2000. abria 10, gari lina uwezo wa kubeba abiria 25 lakini bado mnagombea!! Sasa wale wagombeao jaribu kuangalia akishaingia na kukuta kumbe kuna masiti ya kumwaga, anaanza kushangaa wapi pa kukaa hadi wenzake wanampiga vikumbo na kujaza gari mbele yake!
 
MMezidi kulunndikana dar hata kama maisha hayalipi, Tanzania kubwa hii jamani, mkajaribu maisha mikoani muone yalivyo na raha. Minatoka oFisini situmii nusu saa kufika home. Napata muda wa kushiriki michezo jioni, nikitoka huko hata nikisema nikae bar sichukui roumd najirudisha home kupumzika. Maisha yanasonga, less cost,less stress, less diseases. Ur welcome to the good life. Hayo maisha ya ufisadi yana mwisho wake and its coming soon. Shituka, chukua hatua.
Mimi huku nikitokeza barabarani, hiace ikiniona hatakama ilisha pita, inapigwa reverce kunirudia mtu 1. Hamna presure alhaaaa!
 
Sijui kenya wenzetu wamefanikiwa vipi na SEAT LEVEL...inabidi Mh sana Alcohol aende akajifunze siri ya mafanikio yao ni nini.
 
usafiri wa Dar kero karibu kona kona zote maana hata masaki-posta ni shida kubwa hasa nasikia bus ziko 3 sijui
 
guys, goodevening! if there is anyone who is in need of the transporter officcer please contact 0762972021 or 0653811003
thank you all!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom