BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Hongera sana Dr Janabi! Ni muhimu ukatuwekea bayana hali ya kiafya ya Kikwete
mi sidhan anastahili kuwa profesa...kama umekuwa dk wa raisi ukadiriki kudanganya watanzania zaidi ya million kadhaa afya ya raisi wao,,mpka yanamkuta tena anadondoka anashindwa\ kuweka wazi presidaa anaumwa nini jiulize udk ameshindwa kuwa mkweli tena kwa kukaa na press na kutudanganya anachojua..leo hii u PROF SI ATATUDANGANYA KUPITA KIASI...LOH USHAUPATA SINA BUDI KUKUPONGEZA ILA KWA HILI LA RAIS JIREKEBISHE KWANZA