Daktari wa rais Kikwete apanda cheo

Status
Not open for further replies.

Mpita Njia

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
6,997
1,163
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425




PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.





TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Daktari wa Rais Kikwete awa Profesa

Daktari Mkuu Binafsi wa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Janabi amepandishwa daraja la usomi wa utibabu na kuwa Profesa wa Chuo cha Utibabu cha South Carolina (MUSC) kitengo cha magonjwa ya moyo nchini Marekani kuanzia Oktoba Mosi, mwaka huu, 2010.

Dk. Janabi (47) amekubali kupandishwa daraja hilo ambako atakuwa Profesa Mshiriki wa Tiba katika Idara ya Utibabu, Sehemu ya Tiba ya Moyo, kwenye chuo hicho kilichoko mjini Charlestown.

Hata hivyo, Dk. Janabi ambaye ni mmoja wa Watanzania wachache wenye sifa na ujuzi mkubwa zaidi katika udaktari, anaendelea kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete.

MUSC ni chuo kikuu kikubwa zaidi na maarufu zaidi kuliko kingine chochote katika Jimbo la South Carolina na anakuwa Mtanzania wa kwanza kupata utambuzi na heshima ya namna hiyo kwenye chuo hicho ambacho amekuwa nao kikazi tangu mwaka 2003.

Dk. Janabi alipata Shahada ya Uzamivu (PhD) mwaka 2000 nchini Japan katika fani ya magonjwa ya moyo. Mbali ya kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete, mtaalam huyo wa magonjwa ya moyo pia ni mtaalam bingwa wa masuala ya moyo kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na Mkufunzi wa Heshima katika Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi cha Muhimbili (MUHAS).

Dk. Janabi pia ni Mwanasayansi Mwandamizi katika Utafiti wa Chanjo ya Ukimwi na Mkurugenzi Mwakilishi (Tanzania) wa Taasisi ya Kimataifa ya Madaktari wa Africa.

Amekuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete tokea 2006.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.


22 Oktoba, 2010


 
Dk. Janabi pia ni Mwanasayansi Mwandamizi katika Utafiti wa Chanjo ya Ukimwi na Mkurugenzi Mwakilishi (Tanzania) wa Taasisi ya Kimataifa ya Madaktari wa Africa.
Hongera sana Dr Janabi! Ni muhimu ukatuwekea bayana hali ya kiafya ya Kikwete
 
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA



DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS


Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425





PRESIDENT’S OFFICE,


THE STATE HOUSE,


P.O. BOX 9120,


DAR ES SALAAM.


Tanzania.







TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI



Daktari wa Rais Kikwete awa Profesa

Daktari Mkuu Binafsi wa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Janabi amepandishwa daraja la usomi wa utibabu na kuwa Profesa wa Chuo cha Utibabu cha South Carolina (MUSC) kitengo cha magonjwa ya moyo nchini Marekani kuanzia Oktoba Mosi, mwaka huu, 2010.

Dk. Janabi (47) amekubali kupandishwa daraja hilo ambako atakuwa Profesa Mshiriki wa Tiba katika Idara ya Utibabu, Sehemu ya Tiba ya Moyo, kwenye chuo hicho kilichoko mjini Charlestown.

Hata hivyo, Dk. Janabi ambaye ni mmoja wa Watanzania wachache wenye sifa na ujuzi mkubwa zaidi katika udaktari, anaendelea kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete.

MUSC ni chuo kikuu kikubwa zaidi na maarufu zaidi kuliko kingine chochote katika Jimbo la South Carolina na anakuwa Mtanzania wa kwanza kupata utambuzi na heshima ya namna hiyo kwenye chuo hicho ambacho amekuwa nao kikazi tangu mwaka 2003.

Dk. Janabi alipata Shahada ya Uzamivu (PhD) mwaka 2000 nchini Japan katika fani ya magonjwa ya moyo. Mbali ya kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete, mtaalam huyo wa magonjwa ya moyo pia ni mtaalam bingwa wa masuala ya moyo kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na Mkufunzi wa Heshima katika Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi cha Muhimbili (MUHAS).

Dk. Janabi pia ni Mwanasayansi Mwandamizi katika Utafiti wa Chanjo ya Ukimwi na Mkurugenzi Mwakilishi (Tanzania) wa Taasisi ya Kimataifa ya Madaktari wa Africa.

Amekuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete tokea 2006.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.


22 Oktoba, 2010
Well done!

Natoa hongera sana kwa Professor huyu, hakika ni mweledi wa juu, japo Mkulu hamwamini sana, anaamua kuchanganya na za kwake, ndio maana maji yanazidi unga akiwa majukwaani!

Na yule rafiki yangu Dr. Peter Mfisi ndiye Msaidizi wa M.Janabi?
 
Congrats Prof. Janabi,
You are doing a great job monitoring the defective and thinned jugular vein that takes blood to the head of our dear president. Had it not been you and your expertise surely we would be speaking in a different languages now.

I hope your further research will sufficiently help in ensuring that we have someone healthy upto 2015.



UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425




PRESIDENT'S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.





TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Daktari wa Rais Kikwete awa Profesa

Daktari Mkuu Binafsi wa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Janabi amepandishwa daraja la usomi wa utibabu na kuwa Profesa wa Chuo cha Utibabu cha South Carolina (MUSC) kitengo cha magonjwa ya moyo nchini Marekani kuanzia Oktoba Mosi, mwaka huu, 2010.

Dk. Janabi (47) amekubali kupandishwa daraja hilo ambako atakuwa Profesa Mshiriki wa Tiba katika Idara ya Utibabu, Sehemu ya Tiba ya Moyo, kwenye chuo hicho kilichoko mjini Charlestown.

Hata hivyo, Dk. Janabi ambaye ni mmoja wa Watanzania wachache wenye sifa na ujuzi mkubwa zaidi katika udaktari, anaendelea kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete.

MUSC ni chuo kikuu kikubwa zaidi na maarufu zaidi kuliko kingine chochote katika Jimbo la South Carolina na anakuwa Mtanzania wa kwanza kupata utambuzi na heshima ya namna hiyo kwenye chuo hicho ambacho amekuwa nao kikazi tangu mwaka 2003.

Dk. Janabi alipata Shahada ya Uzamivu (PhD) mwaka 2000 nchini Japan katika fani ya magonjwa ya moyo. Mbali ya kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete, mtaalam huyo wa magonjwa ya moyo pia ni mtaalam bingwa wa masuala ya moyo kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na Mkufunzi wa Heshima katika Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi cha Muhimbili (MUHAS).

Dk. Janabi pia ni Mwanasayansi Mwandamizi katika Utafiti wa Chanjo ya Ukimwi na Mkurugenzi Mwakilishi (Tanzania) wa Taasisi ya Kimataifa ya Madaktari wa Africa.

Amekuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete tokea 2006.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.


22 Oktoba, 2010


 
Congrats Prof. Janabi,
You are doing a great job monitoring the defective and thinned jugular vein that takes blood to the head of our dear president. Had it not been you and your expertise surely we would be speaking in a different languages now.

I hope your further research will sufficiently help in ensuring that we have someone healthy upto 2015.



UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425




PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.





TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Daktari wa Rais Kikwete awa Profesa

Daktari Mkuu Binafsi wa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Janabi amepandishwa daraja la usomi wa utibabu na kuwa Profesa wa Chuo cha Utibabu cha South Carolina (MUSC) kitengo cha magonjwa ya moyo nchini Marekani kuanzia Oktoba Mosi, mwaka huu, 2010.

Dk. Janabi (47) amekubali kupandishwa daraja hilo ambako atakuwa Profesa Mshiriki wa Tiba katika Idara ya Utibabu, Sehemu ya Tiba ya Moyo, kwenye chuo hicho kilichoko mjini Charlestown.

Hata hivyo, Dk. Janabi ambaye ni mmoja wa Watanzania wachache wenye sifa na ujuzi mkubwa zaidi katika udaktari, anaendelea kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete.

MUSC ni chuo kikuu kikubwa zaidi na maarufu zaidi kuliko kingine chochote katika Jimbo la South Carolina na anakuwa Mtanzania wa kwanza kupata utambuzi na heshima ya namna hiyo kwenye chuo hicho ambacho amekuwa nao kikazi tangu mwaka 2003.

Dk. Janabi alipata Shahada ya Uzamivu (PhD) mwaka 2000 nchini Japan katika fani ya magonjwa ya moyo. Mbali ya kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete, mtaalam huyo wa magonjwa ya moyo pia ni mtaalam bingwa wa masuala ya moyo kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na Mkufunzi wa Heshima katika Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi cha Muhimbili (MUHAS).

Dk. Janabi pia ni Mwanasayansi Mwandamizi katika Utafiti wa Chanjo ya Ukimwi na Mkurugenzi Mwakilishi (Tanzania) wa Taasisi ya Kimataifa ya Madaktari wa Africa.

Amekuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete tokea 2006.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.


22 Oktoba, 2010


 
Daktari binafsi?i bana haya mavyeo ya State House yananipaga raha sana..Kuna yule mwingine anagawaga mbuzi na migunia ya mchele wakati wa idd anaitwa MNIKULU sijui nani? yeye hajapandishwa cheo tu
 
Nimefikuta t-shirt na kofia za ccm nyumbani niliporudi jioni.Nilipoziona nikauliza vipi kulikoni n a nguo za rangi za chama,ndipo akaniambia dada aliyepokea kuwa ameleta mjumbe.Akanieleza kuwa alikuwa akigawa kwa watu mbali mbali katika eneo ninaloishi.
Je hii sio rushwa kama ile aliyopewa askofu dr.mokiwa? Na je nirudishe kwa mjumbe au ninyamaze tu?
Wapenda maendeleo na wanamageuzi nipeni nini cha kufanya na hii kofia na t-shirt ya hawa mafisadi?
 
Nimefikuta t-shirt na kofia za ccm nyumbani niliporudi jioni.Nilipoziona nikauliza vipi kulikoni n a nguo za rangi za chama,ndipo akaniambia dada aliyepokea kuwa ameleta mjumbe.Akanieleza kuwa alikuwa akigawa kwa watu mbali mbali katika eneo ninaloishi.
Je hii sio rushwa kama ile aliyopewa askofu dr.mokiwa? Na je nirudishe kwa mjumbe au ninyamaze tu?
Wapenda maendeleo na wanamageuzi nipeni nini cha kufanya na hii kofia na t-shirt ya hawa mafisadi?

Kama unafunga Mbwa mvalishe, ama sivyo mpe dada afanye dekio! wewe na kizazi chako msijaribu kuvaa mtajipa laana.

Mch Masa K
 
Daktari binafsi?i bana haya mavyeo ya State House yananipaga raha sana..Kuna yule mwingine anagawaga mbuzi na migunia ya mchele wakati wa idd anaitwa MNIKULU sijui nani? yeye hajapandishwa cheo tu

Jamaa akiingia Vingunguti mbuzi wote wanakuja juu wanataka kumtwanga pembe
 
.....Daktari Mkuu Binafsi wa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Janabi amepandishwa daraja la usomi wa utibabu na kuwa Profesa wa Chuo cha Utibabu cha South Carolina (MUSC) kitengo cha magonjwa ya moyo nchini Marekani kuanzia Oktoba Mosi, mwaka huu, 2010.....

Hongera sana Daktari.
Lakini Kwani client wako anasumbuliwa na nini? Mbona anaanguka mara kwa Mara...?
 
Hongera sana,lakini onyesha weredi wako kwa kumtibu rais wetu!si unajua tena ule ugonjwa wake!!!!!!!!!!!!!!!!
 
So what? I smell a rotten rat in this letter. Personal Doctor to be exaggerated like that?Even if.......................................................................................
 
kumbe kikwete ana daktari aliebobea kwenye Tiba, sasa mambo ya kichawi ya nini ? ama kweli jasiri haachi asili.
 
Muungwana ameshauriwa na 'DR" wake kuwa hewa ya pale Jangwani ni chafu sana ndio maana anaanguka anguka akihutubia pale kwahiyo msijemkashangaa mkutano wake wa mwisho wa kampeni akahamia uwanja wa Taifa!!
 
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116539
E-mail: press@ikulu.go.tz
Website: www.mawasilianoikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425




PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120,
DAR ES SALAAM.
Tanzania.





TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


Daktari wa Rais Kikwete awa Profesa

Daktari Mkuu Binafsi wa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohamed Janabi amepandishwa daraja la usomi wa utibabu na kuwa Profesa wa Chuo cha Utibabu cha South Carolina (MUSC) kitengo cha magonjwa ya moyo nchini Marekani kuanzia Oktoba Mosi, mwaka huu, 2010.

Dk. Janabi (47) amekubali kupandishwa daraja hilo ambako atakuwa Profesa Mshiriki wa Tiba katika Idara ya Utibabu, Sehemu ya Tiba ya Moyo, kwenye chuo hicho kilichoko mjini Charlestown.

Hata hivyo, Dk. Janabi ambaye ni mmoja wa Watanzania wachache wenye sifa na ujuzi mkubwa zaidi katika udaktari, anaendelea kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete.

MUSC ni chuo kikuu kikubwa zaidi na maarufu zaidi kuliko kingine chochote katika Jimbo la South Carolina na anakuwa Mtanzania wa kwanza kupata utambuzi na heshima ya namna hiyo kwenye chuo hicho ambacho amekuwa nao kikazi tangu mwaka 2003.

Dk. Janabi alipata Shahada ya Uzamivu (PhD) mwaka 2000 nchini Japan katika fani ya magonjwa ya moyo. Mbali ya kuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete, mtaalam huyo wa magonjwa ya moyo pia ni mtaalam bingwa wa masuala ya moyo kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) na Mkufunzi wa Heshima katika Chuo Kikuu cha Tiba na Sayansi cha Muhimbili (MUHAS).

Dk. Janabi pia ni Mwanasayansi Mwandamizi katika Utafiti wa Chanjo ya Ukimwi na Mkurugenzi Mwakilishi (Tanzania) wa Taasisi ya Kimataifa ya Madaktari wa Africa.

Amekuwa Daktari Mkuu Binafsi wa Rais Kikwete tokea 2006.

Imetolewa na:

Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu,
DAR ES SALAAM.


22 Oktoba, 2010



nimepata majibu kwanini mkulu anaangukaanguka: dr wake ana majukumu mengi mno.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom