Daktari wa Kanumba ni Imposter?

Maybe ni Doctor kweli but amekaa kiudakudaku zaidi, ameishi na wasanii, amejifunza umbeya na majungu mpaka akasahau Doctor anatakiwa aweje, so anataka kujiingiza kwenye kesi ya utoaji mimba kiholelaholea, but pengine akili zake hazimtoshi, hajui kwa kusema hivyo, atafutiwa Udaktari wake na kuishia jela, kwanini kupitia taaluma yake alishindwa kusaidiana na polisi ili kudeal na huo uovu Kanumba aliukuwa anamtaka aufanye kili mara ili kupunguza mambo kama hayo kwenye jamii, ni reasons gani za msingi alikuwa akipewa na Marehemu mpaka akatumia taaluma yake kufanya anachoambiwa au ni vijisenti tu alivyokuwa akipewa, au anampaka matope tu Marehemu, yaani kama ni kweli, afutiwe kuwa daktari na sheria ifuate mkondo wake, na yeye awe kama Lulu, kesi za mauaji, maana ni mimba zaidi ya moja ameshatoa kwa hao mademu mbalimbali wa K
Wana body,

Naomba kutoa duku duku langu kuhusu huyu jamaa anayejiita Daktari wa Kanumba kama ni daktari kweli au he is just an imposter anaye pose kama daktari na luckly Kanumba akamuaminia na kumfanya ni daktari wake!.

Japo bado sijafanya search yoyote kuestablish authenticity ya udakitari wake, lakini hivi karibuni amekuwa aki onekana sana kwenye media and he just talks too much but doesn't sound as a doctor but just as a layman!.

Nina mashaka sana na huyu jamaa and I seriously doubt him hata kama japo hata u - medical assistant. I think ni imposter!.

Pale kwenye msiba niliongea nae akasema yeye alifika kwa K saa 7 usiku na alipompima aligundua ameshakufa!. Ila hakuwaambia aliowakuta ili wasishtuke!. Eti baada ya kujua K keshakufa, ni yeye ali valisha nguo na kuwadanganya waliopo wamuwahishe hospitali!. Hivi kweli ni vitendo vya professional doctor!.

Hiyo story ya L kupigwa sana na kujeruhiwa vibaya pia aliisema!. L alikutwa night club akijirusha!.

Kitu kikubwa kabisa na cha ajabu alichokifanya huyu anayejiita daktari wa K ni kitebdo cha kutoa siri za K na za wanawake wa K anaodai aliwatoa mimba za K kwa maelekezo ya K!. Nilichoka kabisa!.

Nawathibitishia kesi itakapo anza, mtalishuhudia hili la imposter kujifanya ni medical doctor !. Mkumbuke pia ni doctor huyu huyu ndio ameigiza movie ya mwisho ya K yeye akiact ni daktari!.

Hivyo nawaombeni sana, yote yanayotamkwa na daktari huyu, sio ya kuyaaminia kisaana, to be on a safe side, nashauri tuyachukulie kijuu juu!.

Pasco.
 
Alitakiwa awe mshauri mkubwa kwa K juu ya hiyo ishu ya utoaji mimba but kama K angeendelea kusisitiza amsaidie kwa hilo, angetakiwa kumripoti polisi na kwenye taasisi za kutetea watoto, wanawake na haki za binadamu, ili jamii ijue uovu wake kama ni ishu yenye ukweli kabisa na sheria imshughulikie, but yeye akaona ajiunge naye katika kutekeleza hayo mauaji, yaani huyu mtu kwa kweli serikali isimwachie, idili naye ili iwe fundisho kwenye jamii, inawezekana K alikuwa na tabia hiyo ya mauaji kweli but si tunasema tu R.I.P K but God ndiye anayejua atamkeep kwenye peace au vipi, kila mtu na kila siku tunamkosea Mungu, kwa kutenda dhambi ,kwa kujua au kwa makusudi kabisa, wakati siku atakapotuchukua hatuijui, mara nyingi tunaenda kabla ya kutubu
 
Wana body,

Naomba kutoa duku duku langu kuhusu huyu jamaa anayejiita Daktari wa Kanumba kama ni daktari kweli au he is just an imposter anaye pose kama daktari na luckly Kanumba akamuaminia na kumfanya ni daktari wake!.

Japo bado sijafanya search yoyote kuestablish authenticity ya udakitari wake, lakini hivi karibuni amekuwa aki onekana sana kwenye media and he just talks too much but doesn't sound as a doctor but just as a layman!.

Nina mashaka sana na huyu jamaa and I seriously doubt him hata kama japo hata u - medical assistant. I think ni imposter!.

Pale kwenye msiba niliongea nae akasema yeye alifika kwa K saa 7 usiku na alipompima aligundua ameshakufa!. Ila hakuwaambia aliowakuta ili wasishtuke!. Eti baada ya kujua K keshakufa, ni yeye ali valisha nguo na kuwadanganya waliopo wamuwahishe hospitali!. Hivi kweli ni vitendo vya professional doctor!.

Hiyo story ya L kupigwa sana na kujeruhiwa vibaya pia aliisema!. L alikutwa night club akijirusha!.

Kitu kikubwa kabisa na cha ajabu alichokifanya huyu anayejiita daktari wa K ni kitebdo cha kutoa siri za K na za wanawake wa K anaodai aliwatoa mimba za K kwa maelekezo ya K!. Nilichoka kabisa!.

Nawathibitishia kesi itakapo anza, mtalishuhudia hili la imposter kujifanya ni medical doctor !. Mkumbuke pia ni doctor huyu huyu ndio ameigiza movie ya mwisho ya K yeye akiact ni daktari!.

Hivyo nawaombeni sana, yote yanayotamkwa na daktari huyu, sio ya kuyaaminia kisaana, to be on a safe side, nashauri tuyachukulie kijuu juu!.

Paskali
Leo ni imetimia miaka 10, toka kifo cha nyota huyu wa Bongo Movies, Steven Kanumba, na mpaka Leo, sio tuu pengo lake halijazibika, bali hajapatikana star mwingine yoyote wa kuvaa viatu vyake vikamfiti.

RIP Steven Kanumba, tutakukumbuka milele!.
Paskali
 
Leo ni imetimia miaka 10, toka kifo cha nyota huyu wa Bongo Movies, Steven Kanumba, na mpaka Leo, sio tuu pengo lake halijazibika, bali hajapatikana star mwingine yoyote wa kuvaa viatu vyake vikamfiti.

RIP Steven Kanumba, tutakukumbuka milele!.
Paskali

Mrejesho kwa huyo daktari wake uliyemuita imposter.!
 
afadhali huyo daktari wa Kanumba kuliko yule daktari wa bwana mkubwa wa chattle aliyempatia mgonjwa wa covid matibabu ya kujivukiza
 
Back
Top Bottom