Maybe ni Doctor kweli but amekaa kiudakudaku zaidi, ameishi na wasanii, amejifunza umbeya na majungu mpaka akasahau Doctor anatakiwa aweje, so anataka kujiingiza kwenye kesi ya utoaji mimba kiholelaholea, but pengine akili zake hazimtoshi, hajui kwa kusema hivyo, atafutiwa Udaktari wake na kuishia jela, kwanini kupitia taaluma yake alishindwa kusaidiana na polisi ili kudeal na huo uovu Kanumba aliukuwa anamtaka aufanye kili mara ili kupunguza mambo kama hayo kwenye jamii, ni reasons gani za msingi alikuwa akipewa na Marehemu mpaka akatumia taaluma yake kufanya anachoambiwa au ni vijisenti tu alivyokuwa akipewa, au anampaka matope tu Marehemu, yaani kama ni kweli, afutiwe kuwa daktari na sheria ifuate mkondo wake, na yeye awe kama Lulu, kesi za mauaji, maana ni mimba zaidi ya moja ameshatoa kwa hao mademu mbalimbali wa K
Wana body,
Naomba kutoa duku duku langu kuhusu huyu jamaa anayejiita Daktari wa Kanumba kama ni daktari kweli au he is just an imposter anaye pose kama daktari na luckly Kanumba akamuaminia na kumfanya ni daktari wake!.
Japo bado sijafanya search yoyote kuestablish authenticity ya udakitari wake, lakini hivi karibuni amekuwa aki onekana sana kwenye media and he just talks too much but doesn't sound as a doctor but just as a layman!.
Nina mashaka sana na huyu jamaa and I seriously doubt him hata kama japo hata u - medical assistant. I think ni imposter!.
Pale kwenye msiba niliongea nae akasema yeye alifika kwa K saa 7 usiku na alipompima aligundua ameshakufa!. Ila hakuwaambia aliowakuta ili wasishtuke!. Eti baada ya kujua K keshakufa, ni yeye ali valisha nguo na kuwadanganya waliopo wamuwahishe hospitali!. Hivi kweli ni vitendo vya professional doctor!.
Hiyo story ya L kupigwa sana na kujeruhiwa vibaya pia aliisema!. L alikutwa night club akijirusha!.
Kitu kikubwa kabisa na cha ajabu alichokifanya huyu anayejiita daktari wa K ni kitebdo cha kutoa siri za K na za wanawake wa K anaodai aliwatoa mimba za K kwa maelekezo ya K!. Nilichoka kabisa!.
Nawathibitishia kesi itakapo anza, mtalishuhudia hili la imposter kujifanya ni medical doctor !. Mkumbuke pia ni doctor huyu huyu ndio ameigiza movie ya mwisho ya K yeye akiact ni daktari!.
Hivyo nawaombeni sana, yote yanayotamkwa na daktari huyu, sio ya kuyaaminia kisaana, to be on a safe side, nashauri tuyachukulie kijuu juu!.
Pasco.