TANMO
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 11,513
- 11,276
Daktari bila kujali nani yuko mbele yake ameamua kusisitiza juu ya kufuata Utaratibu waliojiwekea Hospitalini kwao..
David Cameron kwa kutambua kuwa walikosea, mara moja wakaomba radhi na kuheshimu alichosema Daktari..
Inavutia pale siasa zinapowekwa kando na taaluma ikaheshimiwa..
Labda viongozi na wataalamu wetu watajifunza kitu hapa...
Kwamba haijalishi wewe ni nani, ni lazima uheshimu taratibu na taaluma za wengine......
Na kwamba haijalishi mtu ni nani ni lazima umsisitize kufuata utaratibu kwa mujibu wa taaluma yako, usiruhusu Taaluma yako kupuuzwa na wanasiasa....
David Cameron kwa kutambua kuwa walikosea, mara moja wakaomba radhi na kuheshimu alichosema Daktari..
Inavutia pale siasa zinapowekwa kando na taaluma ikaheshimiwa..
Labda viongozi na wataalamu wetu watajifunza kitu hapa...
Kwamba haijalishi wewe ni nani, ni lazima uheshimu taratibu na taaluma za wengine......
Na kwamba haijalishi mtu ni nani ni lazima umsisitize kufuata utaratibu kwa mujibu wa taaluma yako, usiruhusu Taaluma yako kupuuzwa na wanasiasa....
Last edited by a moderator: